Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
au ulimanisha kwa england pekee....Daaah
kumbuka onyango ni beki wa timu kubwa Africa mashariki na kati ... timu ya 13 kwa ubora Afrika na inshalaaah mwakani itakuwa timu ya 10 kwa ubora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au ulimanisha kwa england pekee....Daaah
au ulimanisha kwa england pekee....
kumbuka onyango ni beki wa timu kubwa Africa mashariki na kati ... timu ya 13 kwa ubora Afrika na inshalaaah mwakani itakuwa timu ya 10 kwa ubora
niongeze facts ...Sawa bhana
RUBEN... Unapiga shuti lako mwisho na umeuma meno kabisa lakini anaoko kwa kichwa.Ruben Dias amechaguliwa kuwa man of the match[emoji91][emoji91][emoji91][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Hapo Sasa Hawa mabeki wanacheza na mechi, hamna kitu humoHapa ilikuwaje tena.View attachment 1768181
Vipi mkuu dhidi ya Man united?? Sijaona stats zake hapo.Kwasasa huyu ndio beki bora wa kati sio kwa ulaya bali duniani kwa mtazamo wangu. Beki mwenye matumizi makubwa sana ya akili, anajua kujipanga kwenye nafasi kwa muda sahihi, anafanya sana interception, rejea mechi ya jana ya Man City dhidi ya PSG.
Amewafanya hata mabeki wenzake wa Man City akina John Stones na Laporte warudi kwenye viwango vyao. Guardiola alifanya usajili sahihi sana hapa, na kwakuwa hakusajiliwa kwa mbwembwe, basi pia anafanya kazi yake kimyakimya.
Nitajie beki wa kati aliyebora kwasasa kumzidi Ruben Dias, karibuni kwa mjadala...
View attachment 1767804
View attachment 1767805
Vipi mkuu dhidi ya Man united?? Sijaona stats zake hapo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
RUBEN... Unapiga shuti lako mwisho na umeuma meno kabisa lakini anaoko kwa kichwa.
Naunga mkono hoja