Nitajie jina la lotion maalumu kwa kuondoa nywele kwapani bila kunyoa

Mzaleee

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,069
Reaction score
3,899
Wakuu poleni na majukumu ,,ni zamani kidogo niliwahi kupaka lotion ya kuondoa nywele kwapani kwa ndg yang mmoja lakn kwa sasa jina silikumbuki kwa usahihi,,,, naombeni tushare ideas kwa yeyote anaye ifahamu lotion ya aina yoyote iliyo kwa miajili hiyo.Asanteni
 
Majivu
Ky
Durex spray
 
Kuna siku nilitumia moja( siikumbuki jina) kunyolea nywele za southern hemisphere.. aisee... ilibaki kama miezi sita hivi nywele haikuota hata moja.. baadae ndo zikaanza tena kuota, niliogopa hadi nikaanza kusema i need my nanihii back... sitaki hata kuzisikia tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…