Jericho Jr.
Member
- Jan 8, 2012
- 75
- 6
pia kuna ​ulezinaona mnahaha jibu nin uyoga
Ni swali nililoulizwa leo na bwana mdogo wa form one akaniahidi dhawadi ya bazoka nikipatia,nimepewa siku 2.Naombeni mchango wenu tugawane bazoka...!!!
*zingatia-liwe katika lugha ya kiswahili tu
mpera , mzambarau, mbuyu....... mbona ni mingi sana khaaMwembe
Gugumaji
Dwela.
Mkuu mbona umeenda chaka kuna mti unaitwa kwangara.
Naona mnahaha jibu nin UYOGA
huyo dogo mwambie ajifunze ngeli za majina akifikia hiyo topic atajua kwa nini miti huanza na herufi m...
mpera , mzambarau, mbuyu....... mbona ni mingi sana khaa
atasielewi
Kimaroro
miti ya zambarao
Nkaratusi...ba