Nitajie mahali yako

Nitajie mahali yako

Inategemea wakuu, kuna factors za kuzingatia.[emoji3]
FB_IMG_1691593613217.jpg
 
Mimi sijui pia ndo maana nimeuliza
Kwa uzoefu wangu.

Wengine wanaangalia "Potential" ya muolewaji.
Elimu, uzuri(japo sio sana), kujitunza.
Wengine wanaangalia uwezo wa kiuchumi wa muoaji.
Uwezo wa kiuchumi wa familia ya muolewaji.


Wengine hawaangailii yote hayo, upendo tuu unakuwa ni mahari tosha. Kinachoongezeka ni Zawadi za hapa na pale.
 
Kwa uzoefu wangu.

Wengine wanaangalia "Potential" ya muolewaji.
Elimu, uzuri(japo sio sana), kujitunza.
Wengine wanaangalia uwezo wa kiuchumi wa muoaji.
Uwezo wa kiuchumi wa familia ya muolewaji.


Wengine hawaangailii yote hayo, upendo tuu unakuwa ni mahari tosha. Kinachoongezeka ni Zawadi za hapa na pale.
Ooh kumbe
 
Back
Top Bottom