Nitajie mahali yako

Mimi sijui pia ndo maana nimeuliza
Kwa uzoefu wangu.

Wengine wanaangalia "Potential" ya muolewaji.
Elimu, uzuri(japo sio sana), kujitunza.
Wengine wanaangalia uwezo wa kiuchumi wa muoaji.
Uwezo wa kiuchumi wa familia ya muolewaji.


Wengine hawaangailii yote hayo, upendo tuu unakuwa ni mahari tosha. Kinachoongezeka ni Zawadi za hapa na pale.
 
Ooh kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…