Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mabilionea karibu wote Afrika (achilia mbali bongo) ni wasomi? Tafuta listi ya mabilionea uone elimu zao.Kibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi
Taja Msomi Bilionea BongoMbona mabilionea karibu wote Afrika (achilia mbali bongo) ni wasomi? Tafuta listi ya mabilionea uone elimu zao.
Mwamedi kapiga kitabuTaja Msomi Bilionea Bongo
Hakuna kada inatoa Mabillionea kama Siasa ukichanganya na Shule ,Kibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi
How much does he own?Mohamed Dewji, the only bilionaire in Tanzania.
Dewji ni bilionaire in terms of dollar. ILA mabilionea wa tsh wapo wengi.Mohamed Dewji, the only bilionaire in Tanzania.
Mkuu. Mo ni billions in term of dollar.How much does he own?
Kuna watu Wana share za mabenki Kama CRDB au ukitaka kujua wasomi mabilionea Tanzania tembelea DSE. Kuna watu nchi hii wanapesa lkn matako hayalii mbwata Kama Mo. Mo mnahisi anapesa KWASABABU anawahonga viongozi wa Simba na kukopesha pikipiki.
Basi Zimbabwe watakuwa wengi.Dewji ni bilionaire in terms of dollar. ILA mabilionea wa tsh wapo wengi.
BashiteMkuu. Mo ni billions in term of dollar.
Kama yupo mwingine unaweza kumleta tujifunze.
Reginald mengiKibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi
Wataje mkuu tujifunze.Basi Zimbabwe watakuwa wengi.
Huyo alikuwa msomi , Tena miaka hiyo 1970s/1980 .Yupo kwenye watu wa Mwanzo kupata CPAReginald mengi
Wasomi ni wengi ma bilionea, hivi unajua kuna watu wanahela huki mikoani lakini hawajulikani na wako straight kibiasharaHuyo alikuwa msomi , Tena miaka hiyo 1970s/1980 .Yupo kwenye watu wa Mwanzo kupata CPA