Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo Dewj kasomea Internationat School of Tanganyika. A baadae Huko Marekani alienda kubobea kwenye Masomo ya Biashara.Kibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi
Hawa wote pesa zao za dhulma tuTulia Akson Mwansasu
Mwigulu Lamerk Nchemba
Vice PM Dotto Biteko
Fleeman Aikael Mbowe
Mo DewjiKibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama unataka kuacha shule, wewe acha tu mkuu. Usitafute sababu.
Bakheresa watoto wake kasomesha hatari na ndio wanaoendesha kampuni mmoja kashika Azam Foods mambo yote ya vya kula na vinywaji na viwanda vyake ,mwingine kashika Azam transport inayoshughukika na mambo yote ya usafirishsji ikiwemo meli malori .Mwingine kashika Azam media na Sport mambo ya Azam TV na sportsVipi Bakhresa aliyeacha shule huku nyumbani ingawa yeye ni millionaire
cyrillo ramaphosa,rais wa afrika kusini,ni tajiri na ni msomi mwanasheriaKibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi
Mwigu, Tiba, Cheng, Riz list ni ndefu sana......Kibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi
Kwa Tanzania ni nadra kukuta bilionea ambaye hajasoma sio rahisiUngeanza wewe na kutuwekea list ya mabilionea ambao hawana elimu ingependeza sana..
Regnard MengiKibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi
1. Laizer wa Tanzanite,Ungeanza wewe na kutuwekea list ya mabilionea ambao hawana elimu ingependeza sana..
Umekaa mwenyewe ukaona ukiwa mjinga ndio utapata hela?Kibongobongo Kusoma Sana ni kukataa kuwa Bilionea Kwa makusudi