bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Mkuu haya majina ni Common names kama ilivyo Mwarobaini, Mninga, Mkaratusi ambayo inajulikana kwa makabila yote.Mkuu hata mimi kwa lugha botany, ningetaja mingi kweli...
Kwa Kiswahili labda hiyo loliondo tree
Mengine yatakuwa kilugha bana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] don’t cheat
Sikubaliani na wewe ingawa mimi si mtalaamu wa kiswahili, lakini kwa mimea bila kuweka "M", huwezi kupata nomino/jina ya mmea husika. Na ukiondoa "M", utapata jina la zao la huo mmea. Kwa hiyo ili kupata jina la mti husika, ni lazima "M" itangulie kuonyesha kuwa hilo ni jina la mmea, na si zao lake. Kwa mfano, Mkorosho, na Korosho.
Hagenia ni kabila gani?Mkuu haya majina ni Common names kama ilivyo Mwarobaini, Mninga, Mkaratusi ambayo inajulikana kwa makabila yote.
Pia kuna Local names ambayo yapo tofauti kulingana na kabila.
Mfano:
Common name: Loliondo
Local names: Olmasi(Masai)
Mudi(Chagga)
Sasi(Fipa)
Tsalmo(Iraqw)
Mshiyo(Meru)
Sasa hapa wanataka kiswahili chenyeweHicho ni Kigweno ambacho kiasili kinatokana na mchanganyiko wa Kichaga na kipare japo Kichaga is dominant and thus Wagweno sio wapare wala wachaga but Intermidiate.
Hagenia ni Common name.Hagenia ni kabila gani?
Sababu mother name yao ni MIMEA(MMEA) so.lazima ianze na MNaam naomba unitajie mti wowote usio anzia na herufi "M" maana nimetumwa na mganga kama hamna nimpe laki moja
Hagenia ni Common name.
Local names zake ni hizi hapa.
Mfoono(Bena)
Mrozirozi(Bondei, Shambaa, Zigua)
Mweretsi, mweretzi(Hehe)
Mtulenga, mturungu(Nyakyusa)
Mkumburu(Safwa)
Mwanga, mwalanga, Ihanga, mlanga, mlaagi(Chagga)
Songeyaji, ngivavi(Masai)
HageniaLocal names sawa [emoji736]
Haya Kwa Kiswahili ninauitaje!?
Hagenia
Kweli maana kiingereza ukitaja kabila huanzi na MM-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
Akili yako haina tofauti na huyu mnyama ulie muweka kwenye Avatar yakoMb*o
Wewe jina la kiswahili unalijua lipi?Labda kama mmetohoa kutoka kwenye kingereza, mimi najua hiyo ni genus ya scientific name “Hagenia abyssinica”
Silijui, ndio nilikua nataka kulisikia. Lkn kama ndio linatumia kama Kiswahili sawa!! Itabidi niende jukwaa la luga nikawatafute wataalamWewe jina la kiswahili unalijua lipi?
SawaSilijui, ndio nilikua nataka kulisikia. Lkn kama ndio linatumia kama Kiswahili sawa!! Itabidi niende jukwaa la luga nikawatafute wataalam