Nitajie mti wowote usio anzia na herufi "M"

Nitajie mti wowote usio anzia na herufi "M"

Mkuu hata mimi kwa lugha botany, ningetaja mingi kweli...
Kwa Kiswahili labda hiyo loliondo tree
Mengine yatakuwa kilugha bana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] don’t cheat
Mkuu haya majina ni Common names kama ilivyo Mwarobaini, Mninga, Mkaratusi ambayo inajulikana kwa makabila yote.

Pia kuna Local names ambayo yapo tofauti kulingana na kabila.

Mfano:
Common name: Loliondo

Local names: Olmasi(Masai)

Mudi(Chagga)

Sasi(Fipa)

Tsalmo(Iraqw)

Mshiyo(Meru)
 
hujanambia ambacho hukubaliani nami ni nini.
ngoja nikupe ilimu kidogo tu bure.

korosho ni jina(noun) kubadilisha ili iwe ni Kibumishi (adjective) inaongezewa prefix M ambayo inafanya hilo jina libadilike liwe adjective ambayo ndo hiyo mkorosho.

si mmea peke yake...(niendelee kukuelimisha bure kabisa) hata makabila au utaifa.
china ni jina la nchi (nomino ) in swahili. china (noun) in english
kivumishi chake kuzungumzia mtu anayetoka nchi ya china
Mchina huyu ni mtu (kivumishi) in swahili. Chinese (adjective) in english a citizen of china.

haya nambie hukubaliani nami wapi. wewe si mtaalamu wa kiswahili. mimi ni mtaalamu wa KISWAHILI,ENGLISH,KIARABU NA KIHISPANIOLA.

Sikubaliani na wewe ingawa mimi si mtalaamu wa kiswahili, lakini kwa mimea bila kuweka "M", huwezi kupata nomino/jina ya mmea husika. Na ukiondoa "M", utapata jina la zao la huo mmea. Kwa hiyo ili kupata jina la mti husika, ni lazima "M" itangulie kuonyesha kuwa hilo ni jina la mmea, na si zao lake. Kwa mfano, Mkorosho, na Korosho.
 
Mkuu haya majina ni Common names kama ilivyo Mwarobaini, Mninga, Mkaratusi ambayo inajulikana kwa makabila yote.

Pia kuna Local names ambayo yapo tofauti kulingana na kabila.

Mfano:
Common name: Loliondo

Local names: Olmasi(Masai)

Mudi(Chagga)

Sasi(Fipa)

Tsalmo(Iraqw)

Mshiyo(Meru)
Hagenia ni kabila gani?
 
Hicho ni Kigweno ambacho kiasili kinatokana na mchanganyiko wa Kichaga na kipare japo Kichaga is dominant and thus Wagweno sio wapare wala wachaga but Intermidiate.
Sasa hapa wanataka kiswahili chenyewe
 
Hagenia ni kabila gani?
Hagenia ni Common name.

Local names zake ni hizi hapa.

Mfoono(Bena)

Mrozirozi(Bondei, Shambaa, Zigua)

Mweretsi, mweretzi(Hehe)

Mtulenga, mturungu(Nyakyusa)

Mkumburu(Safwa)

Mwanga, mwalanga, Ihanga, mlanga, mlaagi(Chagga)

Songeyaji, ngivavi(Masai)
 
Hagenia ni Common name.

Local names zake ni hizi hapa.

Mfoono(Bena)

Mrozirozi(Bondei, Shambaa, Zigua)

Mweretsi, mweretzi(Hehe)

Mtulenga, mturungu(Nyakyusa)

Mkumburu(Safwa)

Mwanga, mwalanga, Ihanga, mlanga, mlaagi(Chagga)

Songeyaji, ngivavi(Masai)

Local names sawa [emoji736]
Haya Kwa Kiswahili ninauitaje!?
 
M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
Kweli maana kiingereza ukitaja kabila huanzi na M
 
Wewe jina la kiswahili unalijua lipi?
Silijui, ndio nilikua nataka kulisikia. Lkn kama ndio linatumia kama Kiswahili sawa!! Itabidi niende jukwaa la luga nikawatafute wataalam
 
Gomba,cyo mgomba,bali ni ule mti wa mirungi.
kwenye laki nipe 5000 tu
 
Back
Top Bottom