Nitajie mti wowote usio anzia na herufi "M"

Nitajie mti wowote usio anzia na herufi "M"

M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
 
mbona umeanzia na herufi "M" ?
Daah! Hatari sana. Hata mie nilisoma haraka haraka na kuelewa kuwa ni mti unaoanzia; Hio "usio anzia....." mie ilisomeka unaonzia😕. Au Mkuu edit post kutuchanganya?? 😛
 
M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
ngoja mganga anipe dawa niwe tajiri nikuajili kufundisha chekechea
 
M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
[emoji122] [emoji122] [emoji122] hongera dada/kaka kwa kutoa maelezo mazuri
 
Naam naomba unitajie mti wowote usio anzia na herufi "M" maana nimetumwa na mganga kama hamna nimpe laki moja
M ni kitamshi cha upekee,
Kwa hiyo ombi lako na jibu litakuwa halina upekee.
Miti ya nazi
Miti ya pera
Miti ya fenesi
Nk
 
Sio vizuri kujibu bila kuwa na ushahidi ngoja niingie chimbo kwanza
 
Back
Top Bottom