Nitajie viongizi watatu tu wa Upinzani waliopigana vita ya Kagera kwa namna yoyote ile ukimuondoa mzee Mrema!

Nilikuwa nakukumbusha tu kuhusu misingi ya uzalendo.

Sasa Lema anajiita mzalendo, kweli?!!!

Lema hana muda wa kujiita mzalendo, maana sasa hivi ni ngumu kutofautisha uzalendo na ujinga.
 
Kwani kupigana vita mpaka uende field? Baba yako sio mzalendo. Nahisi hata wewe una damu ya kutokuwa mzalendo.
Angalia huyo kiazi aliyeanzisha mada anamaanisha nini. Mimi sitaki uzalendo maana sasa hivi hakuna tofauti ya uzalendo na ujinga.
 
Hivyo vita watanzania wote walienda? Baba yangu mbona hakwenda kwenye hivyo vita na alikuwa 30+ by then?
Acha ubazazi swali linawataka viongozi wa upinzani
 
Kamasy kabisa!! Polepole, magufuli, Kabudi walipigana??? Uchafu huu pelekea Lumumba
Wengi hamjaelewa swali

Swali lilitaka utaje kama wapo

Lingetaka viongozi wa Ccm waliopigana kama wapo wangetajwa, sasa wewe unaacha kutaka waliopigana unataja ambao hawakupigana...ndio maana mnafeli shule

Kurahisishiwa swali, taja viongozi watatu wa upinzani/Ccm waliopigana vita?
 
Angalia huyo kiazi aliyeanzisha mada anamaanisha nini. Mimi sitaki uzalendo maana sasa hivi hakuna tofauti ya uzalendo na ujinga.
Wewe ni mtoto mdogo hujui hata maana ya kupigana vita.

Lowassa alikuwepo vitani lakini hakushika bunduki!
 
Hakika mkuu!
 
Viongozi wa vyama vya upinzani ni kizazi kipya, ni kizazi chenye wajibu mpya wa kupambana na mkoloni mweusi ndani ya Nchi, waliopigana vita vya Uganda wote washazeeka na wengine washakufa, hata Rais tuliye naye hakushiriki hiyo vita.
 
Viongozi wa vyama vya upinzani ni kizazi kipya, ni kizazi chenye wajibu mpya wa kupambana na mkoloni mweusi ndani ya Nchi, waliopigana vita vya Uganda wote washazeeka na wengine washakufa, hata Rais tuliye naye hakushiriki hiyo vita.
Wewe unatazama top layers

Katibu au msemaji wa chama kwako sio kiongozi wa chama?

Mwenyekiti wa wazee wa chama kwako sio kiongozi?

Mmeulizwa viongozi wa chama mnatazama mbowe, Zitto, Lissu nk
Kuna wazee wako kwenye vyama vyenu wana nafasi nao ni viongozi

Ndio ujibu kama walipigana vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…