Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Ingekuwa zama hizi nafikiri ungejiunga Yanga princessNa mimi nikajifunza kupiga kama yeye, siku moja kwenye michezo shuleni sekondari wakati wa mazoezi mwalimu akatenga mpira akaniambia nipige, alishika kichwa hakuamini!
Aliniambia “Nifah, hata wavulana kwenye kikosi chetu hawapigi hivi. Kwanini hukuwa mwanaume?, hiki ni kipaji” Heheee
Wababu utawajua tu1.. Lothar Matheus
2. Marc Vivien Foe
3. Zinedine Zidane
Hahaaa kumbe na wewe ushawahi kuwa Ball bender, sasa si ungeingia kwenye mpira tu pengine saa hii ungekuwa Ulaya, na jina lako lingekuwa linaimbwa kama kina Asisat Oshoala hukoNa mimi nikajifunza kupiga kama yeye, siku moja kwenye michezo shuleni sekondari wakati wa mazoezi mwalimu akatenga mpira akaniambia nipige, alishika kichwa hakuamini!
Aliniambia “Nifah, hata wavulana kwenye kikosi chetu hawapigi hivi. Kwanini hukuwa mwanaume?, hiki ni kipaji” Heheee
Hahaha mkuu Mpira nimeanza kufuatilia muda mrefu, so obviously namuongelea Samatta wa enzi zile, huyu wa sasa sijui wametubadilishia au vipiSamata Huyu butu wa afrikon au yule wa TP MAZEMBE NA GENK
Wewe ni mkongweGiovan elber, geogre hagi, gaizaki mendieta, Claudio lopez, Rivaldo, giafranco Zola.. Nikolaus anelka.
Legendary na miaka yako 60Mwingine aliyenifanya nipende mpira miaka ile ya mwanzoni 80...alikuwa ni mtambo wa magoli pale spain akifahamika kama Hugo sanchez marquez...vijana wa sasa hamwezi kumjua huyu...jamaa alisajiliwa kwa mkopo pale atletico madrid kisha baada ya kukiwasha wakamchukua huyu jamaa mazima ..alikuwa ni hatari sana ktk kuzifumania nyavu mpk Real madrid ikamsajili na akakiwasha vilevile....jamaa alikuwa ni fundi wa kukaa kwenye nafasi na alikuwa na magical touch aisee tulioangalia la liga miaka ya 80 tulifaidi sana kuona vipaji vya mpira ambavyo havitakaa vijirudie.
Lete ubuyu wao basi.😀😃😄😁😆 mi ni Edibily Lunyamila miaka ya 1993 na mpaka wakawa wananiita Lunyamila wa huku kwetu nyakatuntu keisho Karagwe. Tulikuwa tukisikiliza Mpira kwenye RTD kipindi hiko.1. Said Maulid SMG alinifanya nikaipenda Yanga 2000
2. Thiery Henry, nikawa shabiki wa Arsenal 2004
3. Kama sio Henry, huenda ningekuwa shabiki wa Man U sababu ya Beckham, ila akanipeleka Madrid.
Beckham ndio sababu mpaka leo napenda mipira ya free kick.
Muongo huyo, hiyo miaka ya 80 aliwajuaje hao. Anakuokota huyo, kasoma historia yao kwenye Google anakubabaisha hapa. Kipindi hiko TV ilikuwa kwa Nyerere tu.Legendary na miaka yako 60
Sasa mbona picha kwenye DP yako haufanani na Theo?Theo Wallcot 2006.
Enzi hizo ni kayanki, kalikua kahb na mm nilikua nafananishwa nae.