Mtoto wa tajiri
Member
- Jun 24, 2019
- 63
- 107
Same applies to meRonaldo De Lima
Ronaldinho Gaucho
Leonel Messi
We jamaa kama huwa unacheza mpira ni no 6, nina uhakika na hili halafu ni mtu kazi ile real recognize real !!!!Claudia makelele
Patric viera
Michael essien...[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Kumbe umeunywa (umeenda age) bibie1. Said Maulid SMG alinifanya nikaipenda Yanga 2000
2. Thiery Henry, nikawa shabiki wa Arsenal 2004
3. Kama sio Henry, huenda ningekuwa shabiki wa Man U sababu ya Beckham, ila akanipeleka Madrid.
Beckham ndio sababu mpaka leo napenda mipira ya free kick.
Ni kweli, mimi wala sio mdogo ila Yanga nimeanza kuishabikia nikiwa darasa la kwanza.Kumbe umeunywa (umeenda age) bibie
Hakika mkuu...We jamaa kama huwa unacheza mpira ni no 6, nina uhakika na hili halafu ni mtu kazi ile real recognize real !!!!