Nitajihusisha na financial markets maisha yangu yote

Nitajihusisha na financial markets maisha yangu yote

Bro tunashauri kama hujawa vizuri kwenye Trading kama una kazi yako unaifanya ishkilie na wala usiidharau, maana trading might dissapoint you na ukawa broke,

Ila utakapokuwa tayar vizuri na unaona unaingiza profits zaidi ya kazi unayoifanya hapo maamuzi sasa ni yako, ila hatushauri katika hatua za kujifunza uache kazi yako eti kwa kutegemea trading, usichoambiwa ni kuwa biashara zote zina risk na risk ya kwenye trading pengine ni kubwa zaid hasa usipokuwa na knowledge nayo,

Tafuta knowledg ya Trading hii ndo kitu ya kwanza tunashauri, ukifanya trading bila kuijuwa kiundani then hapo tunasema unafanya gambling.

Aliwahi kusema Aliko Dangote " siingii/siweki pesa kwenye biashara yyte ile mpaka niijue A-Z" so ijue trading ili usiwe katika wanaifanya trading kama gambling.
Nilikuambia kuhusu SOFR MARKETS, umeona market inavoreact na news, moto wa gas, yaani PPI inatembea pips 100.
 
Bro elimu ya macroeconomics wewe umejifunzia wapi? Maana naona bado nina safari kidogo kwenye hii game
Vitabu.
Pia Kuna YouTube channel moja ya Karen Foo, Best female Singapore forex trader ( ana mpaka tuzo, wenzetu wa first world countries na second wanaiheshimu sana forex), hapo nimepata madini kutoka kwake.
 
Nilikuambia kuhusu SOFR MARKETS, umeona market inavoreact na news, moto wa gas, yaani PPI inatembea pips 100.
Sure man baada ya ile disc ilibidi nikacheki and niliona FED aliongea hizo mabadiliko,,,, but not only that reaction ya Market na news for real imekuwa booom[emoji91][emoji91][emoji23] ukicheza kuna namna unalia but kuna kitu hiki nimekifatilia mwaka wa tano now,,, News hazibadilishi Direction ya market ispokuwa zinaongeza Volatility ya market, ama speed ya price ila kama Technical yako umefanya vizuri hasa since mwanzo utaona price inaend speed pengine kwenye kwenye Correct POIs na mambo kama hayo... I salute yah bro, unajuwa nini nina muda i even don't use kufatilia news sana, coz huwa najuwa nikifanya Tech fresh hata news zinapokuja zinarespect am saying this with experienc na ndo maana hata entry naweka sometimes befor even big news and things zinaend poa,, mfano wiki iliyopita ile ya nyuma tulikuwa na NFP na hata sikuwa nakumbuka but nilikuwa sokoni but sijawahi adhibiwa na News since nilipojuwa vizuri Tech,,,, ila ni ukweli usiopingika kuwa Forex,Stock, Crypto Markets zinaendeshwa na News.
 
Sure man baada ya ile disc ilibidi nikacheki and niliona FED aliongea hizo mabadiliko,,,, but not only that reaction ya Market na news for real imekuwa booom[emoji91][emoji91][emoji23] ukicheza kuna namna unalia but kuna kitu hiki nimekifatilia mwaka wa tano now,,, News hazibadilishi Direction ya market ispokuwa zinaongeza Volatility ya market, ama speed ya price ila kama Technical yako umefanya vizuri hasa since mwanzo utaona price inaend speed pengine kwenye kwenye Correct POIs na mambo kama hayo... I salute yah bro, unajuwa nini nina muda i even don't use kufatilia news sana, coz huwa najuwa nikifanya Tech fresh hata news zinapokuja zinarespect am saying this with experienc na ndo maana hata entry naweka sometimes befor even big news and things zinaend poa,, mfano wiki iliyopita ile ya nyuma tulikuwa na NFP na hata sikuwa nakumbuka but nilikuwa sokoni but sijawahi adhibiwa na News since nilipojuwa vizuri Tech,,,, ila ni ukweli usiopingika kuwa Forex,Stock, Crypto Markets zinaendeshwa na News.
Hii mabadiliko ya sasahivi, yaani USDCHF anatembea pips 250+, sijawahi ona kitu hiki kwenye pair ya USDCHF.

HAPA KIKUBWA RISK MANAGEMENT NA PROFITABLE STRATEGY MAANA HII SOFR MARKET NI KIBOKO.
 
Sure man baada ya ile disc ilibidi nikacheki and niliona FED aliongea hizo mabadiliko,,,, but not only that reaction ya Market na news for real imekuwa booom[emoji91][emoji91][emoji23] ukicheza kuna namna unalia but kuna kitu hiki nimekifatilia mwaka wa tano now,,, News hazibadilishi Direction ya market ispokuwa zinaongeza Volatility ya market, ama speed ya price ila kama Technical yako umefanya vizuri hasa since mwanzo utaona price inaend speed pengine kwenye kwenye Correct POIs na mambo kama hayo... I salute yah bro, unajuwa nini nina muda i even don't use kufatilia news sana, coz huwa najuwa nikifanya Tech fresh hata news zinapokuja zinarespect am saying this with experienc na ndo maana hata entry naweka sometimes befor even big news and things zinaend poa,, mfano wiki iliyopita ile ya nyuma tulikuwa na NFP na hata sikuwa nakumbuka but nilikuwa sokoni but sijawahi adhibiwa na News since nilipojuwa vizuri Tech,,,, ila ni ukweli usiopingika kuwa Forex,Stock, Crypto Markets zinaendeshwa na News.
Hii mabadiliko ya sasahivi, yaani USDCHF anatembea pips 250+, sijawahi ona kitu hiki kwenye pair ya USDCHF tena kwa muda mfupi.

HAPA KIKUBWA RISK MANAGEMENT NA PROFITABLE STRATEGY MAANA HII SOFR MARKET
 
Nilikuambia kuhusu SOFR MARKETS, umeona market inavoreact na news, moto wa gas, yaani PPI inatembea pips 100.
Nafurahi kupitia thread hii niliyoleta nimezidi kujifunza mengi sana, sometimes nakuwa kimya nafatilia yanayoendelea, naona vile watu mpo vizuri man na mnazidi kutufunguwa I really apreciate hasa nondo zako unazozimwaga hapa, na pia naona watu wengine wanavyojaribu kukatisha tamaa, nimeona kuna mtu juu kule ali-comment kuwa niseme kama tayar nimeshaanza kulala njaa[emoji23][emoji23], so zote ni changamoto ni vile pia hatufahamiani labda, wakat pengine hatua hiyo tumepita muda.
 
[emoji23][emoji23] nilifkiri nimeona peke yangu... USDCHF katu-suprise
Aisee hujaiona peke yako, mi wiki hii nilipanga nimsell EURNZD baada ya kuona EURX anaonyesha dalili ya kusell, Sasa nikasema ngoja nimcheki Dollar swiss, aisee niliona huu ni moto.
 
Vitabu.
Pia Kuna YouTube channel moja ya Karen Foo, Best female Singapore forex trader ( ana mpaka tuzo, wenzetu wa first world countries na second wanaiheshimu sana forex), hapo nimepata madini kutoka kwake.
Singapore naona wapo vizuri kwenye hii industry wana trader wengi wazuri na waliofanikiwa kama akina Adam Khoo na Reyner Teo
 
Mwanzoni niliwahi dhani hivyo ila baadaye nikagundua kuwa hata scalpers wanatakiwa kuwa na knowledge hata ndogo ya Macroeconomics hasahasa kuelewa ile economic calendar.

Ngoja nikupe mfano tokea Jumatatu na wiki iliopita, Taifa la Jumuiya ya Wachina walitoa data ya kushuka kwa PMI , hii ilimaanisha imports ni chache kuliko exports, baada ya taarifa hiyo tu, EURUSD alishuka mpaka siku ya Alhamisi maana ukanda wa Euro huwa wanapigwa sana na news kutoka uchina. Hapo daytraders na scalpers walikuwa wanatafuta sell setups tu mwisho ikiwa Alhamisi saa kumi na mmoja jioni kupisha ADP news na Jolts jobs opening. Baadaye news mbaya ikatoka kwa USD, maana yake ni kuwa Unemployment imeongezeka mwezi June so matraders wanaamini kuwa itakuwa ngumu kwa FED kuraise interest rates ila wataamua kupause, EURUSD&GBPUSD NA GOLD zikaanza kujitune kubuy since Alhamisi, hapo daytraders na scalpers wanabidi watafute buy setups na NFP akawa upande wa buyers maana Kuna correlation kubwa sana ya ADP, Unemployment claims na JOLTS JOBS OPENING.

Katazame charts na economic calendar utaelewa nachokiandika.

Mfano wa pili ni Uchaguzi wa Uturuki, Rais Erdogan alipochaguliwa kuwa Raisi, aliweka mtazamo wa kuwa hapa lazima tu-cut interest rates, USDTURKISH LIRA ikapanda, hapa daytraders inabidi atafute buysetups tu Kila siku mpaka pale atakaposikia wamebadilisha maamuzi , ilipanda kwa wiki tatu, imagine ungekuwa na hii knowledge, hata kutaka pesa za mentorship huwazi kabisa ni ndogo mno kwa pesa zilizopo sokoni kwa dump money.

Mfano wa mwisho, JPY pairs , mwangalie GBPJPY na pairs za JPY, Gavana mpya wa Bank of Japan alitangaza kuwa Japan wataremain na low interest rates ya 0.1% alaf Mr. Bank Of England, Bank of Australia, FED wao wanafanya rates hike . JPY kagawa utamu mwezi mzima............na ukimtazama GBPJPY, hakuna technical traders angewaza kuingia maana angejiona amechelewa na pia price ilikuwa Haifanyi collection, kama USDTURKISH LIRA.

ANYWAY NAKUPA MSEMO MMOJA WA BEST SINGAPORE FOREX TRADER, KAREN FOO " 90% OF RETAIL TRADERS LOSE MONEY BECAUSE THEY HATE MACROECONOMICS WHICH MOVES THE MARKETS".

MWISHO AMINI UNACHOKIAMINI, ILA IN A LONG RUN TUTAZALISHA WATU KAMA ONTARIO WANAODANGANYA WATU KUPITIA MENTORSHIP KUWA TECHNICAL ANALYSIS IS ENOUGH. WAULIZE KWANN SASA WANAFUNDISHA KWA PESA WAKATI WANASEMA FOREX INA PESA NYINGI SANA.

Karen Foo anafundisha Bure kabisa. Michael J Huddleston, mgunduzi wa SMC ukisikiliza Twitter space zake yeye huwa ni Macroeconomics tu.
Uko vizuri Mkuu, Economic Calendar ukijua kucheza nayo hupati tabu Sokoni...
 
Singapore naona wapo vizuri kwenye hii industry wana trader wengi wazuri na waliofanikiwa kama akina Adam Khoo na Reyner Teo
Wako vizuri alafu wako serious sana, kule mamentors hawana njaa.

Wanafundisha seminars kuhusu forex Bure labda kama unataka ile ya personal ndo utatoa hela.
 
Nyuzi na mijadala kadhaa za financial markets nimekua nikiwapa watu hii edge ya fundamentals lakini kwa bahati mbaya hua hawaelewi. If you want to be successful in this industry fundamental haikwepeki. Fundamental ndo inakupa uelekeo wa price then technical itakusaidia kujua mda gan na wapi ufanye entry yako baada ya hapo risk management mchezo imeisha.
 
Ila Forex wala sio issue ya kubahatisha vipo vitu vya kufata na utajuwa nini kinatokea hatua zote.. kila kitu utakifahamu na hakun supriz yyte utakayoiona kwenye Market kila kitu/price moves zote utazijuwa.
Kama unajua moves zote inaonekana wewe uko vizuri mno financially, hebu tuwekee trade history yako ya mwezi uliopita
 
Kama unajua moves zote inaonekana wewe uko vizuri mno financially, hebu tuwekee trade history yako ya mwezi uliopita
Kaka ili ikusaidie nini hasaaa?? Nipo hapa kwaajili ya ku-prove kuwa nipo right?? Nadhani post imejitosheleza kueleza nini nilichotaka kuongelea na nadhani hilo ndo lilikuwa lengo hasaaa, pia sipo hapa kwaajili ya kuonyesha kuwa nipo sahihi ama laa kwa kiasi gani.

Barikiwa kijana.
 
Back
Top Bottom