Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Habari ya Majukumu humu Ndani.
Naomba kusaidiwa hiyo hoja. Je, nitajuaje gari yangu inachemsha?
Gari yangu nimeona haya, Je ndiyo Kuchemsha au mwanzo wa Kuchemsha?
1.Maji nikiweka yemejaa Mpaka Juu, nikiwasha gari baada ya muda nikazima nakufungua Radiotor naona maji hayaonekani.
2.Nimetembea na gari Umbali wa kama 5KM, nikafungua Bonet, natazama tena kwenye Mfuniko wa Radiator nasikia ile mfoko wa "fuuuuu" na mvuke kiasi unatoka.
Naomba msaada tafadhali kujua shida kama ipo hapa.
JituMirabaMinne.
Ahsanteni.
Naomba kusaidiwa hiyo hoja. Je, nitajuaje gari yangu inachemsha?
Gari yangu nimeona haya, Je ndiyo Kuchemsha au mwanzo wa Kuchemsha?
1.Maji nikiweka yemejaa Mpaka Juu, nikiwasha gari baada ya muda nikazima nakufungua Radiotor naona maji hayaonekani.
2.Nimetembea na gari Umbali wa kama 5KM, nikafungua Bonet, natazama tena kwenye Mfuniko wa Radiator nasikia ile mfoko wa "fuuuuu" na mvuke kiasi unatoka.
Naomba msaada tafadhali kujua shida kama ipo hapa.
JituMirabaMinne.
Ahsanteni.