Ukikaa vibaya unapigwa
Ila umedhihilisha kua una vimeo vyako ndio maana umetikisika.
Nikutahadharishe tuu.. vimeo vyako vinajulikana na ndiomaana hata matapeli wamejua jinsi ya kukutikisa.
Siku moja meneja akiwa na subordinate wake walihandle ishu flan. Ilikua nzito kiasi chake. In the end walichezesha wakapata milioni Sita mambo yaishe.. Nakumbuka hizo hela zilienda kupokelewa umbali wa kilometer 80. Mimi nilijua kwa njia zangu tuu, ila sikushilikishwa.
Bwana wee.. baada ya siku 4, wakapokea simu kama uliyopokea wewe. Ofisini hapakukalika.
Kila baada ya nusu saa wanaitana kwa meneja.
Mara wawashe gari waende mjini. Mara watafute polisi watakae mtrust wamwambie ukweli af awasaidie kumtafuta aliyewapigia simu, ikawa taflani.
Shortly, jamaa alikua tapeli ila waliyumba kwasababu wana vimeo vyao.
Wewe umepewa ishara ya kujirekebisha, upanga kwaajili yako unanolewa.