Nitajuaje kuwa nimepatwa na hasad au na mambo ya ulozi?

Ila Mimi hapo kwenye kupeleka kuku Ndo siwezi, Yani nisijichane mikuku mie nikampelekee mganga🤣 hao wananzengo waniue tu.....ila ukimpata mganga anayetibu Kwa kabichi nipitie twende🤣
Kama kabichi ina damu sawa.
 
Ila Mimi hapo kwenye kupeleka kuku Ndo siwezi, Yani nisijichane mikuku mie nikampelekee mganga🤣 hao wananzengo waniue tu.....ila ukimpata mganga anayetibu Kwa kabichi nipitie twende🤣
Kuna mwanangu mganga hao kuku akiwauzia wauza chips
 
Bora Mshana ulishafikašŸ¤”.Tupe mwongozo
 
Ila Mimi hapo kwenye kupeleka kuku Ndo siwezi, Yani nisijichane mikuku mie nikampelekee mganga🤣 hao wananzengo waniue tu.....ila ukimpata mganga anayetibu Kwa kabichi nipitie twende🤣
Huko ndio tutaenda kuongeza matatizo zaidi,dawa hapo tiba ya akili,tena waweza kuta ushauri tušŸ¤”
 
Mkuu ,baadhi ya dalili nyingi za kufanyiwa uchawi na hasad ninazo

Naomba niseidie nafanyaje kuindoa hayo mambo
Kwasababu maswala haya ni ya kiimani zaidi ningependa kufahamu wewe ni dini gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…