Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Bora tuwachome tule, kufa kupo tu.š¤£Acha kuwa mbishi utakufa....lete jogoi naleta mbuzi
Kama kabichi ina damu sawa.Ila Mimi hapo kwenye kupeleka kuku Ndo siwezi, Yani nisijichane mikuku mie nikampelekee mganga𤣠hao wananzengo waniue tu.....ila ukimpata mganga anayetibu Kwa kabichi nipitie twendeš¤£
Kuna mwanangu mganga hao kuku akiwauzia wauza chipsIla Mimi hapo kwenye kupeleka kuku Ndo siwezi, Yani nisijichane mikuku mie nikampelekee mganga𤣠hao wananzengo waniue tu.....ila ukimpata mganga anayetibu Kwa kabichi nipitie twendeš¤£
Jmosi twende mnadani tukale mbuzi huyu nilieplan kumpa mgangaBora tuwachome tule, kufa kupo tu.š¤£
Bora Mshana ulishafikaš¤.Tupe mwongozoHabari wakuu,
Naomba wataalamu wa kuchanganua mambo ya ulozi na hasad mnipe msaada hapa.
Nimekua na series ya matukio ya bahati mbaya yaan matukio lukuki mpaka nawaza kua pengine nimepigwa na mambo ya ulozi au hasad.
Naomba wajuvi wa haya mambo wanipe msaada wa haraka hali ni mbaya sana wakuu.
Kichwa changu naona kama kina dereva mwengine anakiendesha.
Akina Mshana jr na wenzake nawaomba huku tafadhali.
Huko ndio tutaenda kuongeza matatizo zaidi,dawa hapo tiba ya akili,tena waweza kuta ushauri tuš¤Ila Mimi hapo kwenye kupeleka kuku Ndo siwezi, Yani nisijichane mikuku mie nikampelekee mganga𤣠hao wananzengo waniue tu.....ila ukimpata mganga anayetibu Kwa kabichi nipitie twendeš¤£
Hapo sawaJmosi twende mnadani tukale mbuzi huyu nilieplan kumpa mganga
You are welcomeHapo kwenye kuwashwa hapo naomba nije pm
Kwasababu maswala haya ni ya kiimani zaidi ningependa kufahamu wewe ni dini gani ?Mkuu ,baadhi ya dalili nyingi za kufanyiwa uchawi na hasad ninazo
Naomba niseidie nafanyaje kuindoa hayo mambo
Ongeza kufanya ibada ..Mungu wetu hajawahi shindwa na jambo.Mamaeeeehhh nimerogwa
Maku kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Wali kuku unaenda na ndizi ndugu mtaalamu, agiza na ndizi mbivu za buku