falcon Q
JF-Expert Member
- Feb 28, 2023
- 972
- 2,569
Nitakua mtu wa mwisho kukubaliana na wote wanaosema uwanja wa New Amani stadium ni uwanja bora kuanzia kwenye pitch hadi setting kuanza na taa mpaka kwenye billboards kuzunguka uwanja kama hakuna project ya maboresho na sidhani kama CAF wanawezesha upitisha kutumika kwenye michuano ya AFCON.Hauna ubora unaosemwa