Duuu nini mbaya?Naona Niffah kawa banned. To be honest nitammis sana humu ndani. Napenda sana michango yake kwenye mada kadha wa kadha. Pole sana NiffahView attachment 470912
Nimroge?[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu wewe sio wa kunifanyia hivi bwana.
PouwaNi kitambo mkuu ila kuna jamaa kaibua hii thread leo
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji120] [emoji111]Hapana mkuu. Kwa niaba ya Nifah
Dah, ila mshana [emoji114]Nimroge?
[emoji101] [emoji101] [emoji101]Dah, ila mshana [emoji114]
Welcome back my dear sister.Amen [emoji120]
Thank you, I'm humbed.
ndugu yangu usitamke kwani ban ina maumivu makali sana yaani usithubutu upate ban maana majangaNifanyeje ili nipate ban