Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini ikiwa Taifa Stars itafuzu AFCON mwakani 2024

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini ikiwa Taifa Stars itafuzu AFCON mwakani 2024

Jana tumeshuhudia Stars ikishinda tena kwa mbinde goli 1 kwa sufuri dhidi ya Niger, huku Algeria akiifunga Uganda 2-1 . Msimamo hadi sasa ukionesha Algeria akiongoza kundi na akiwa tayari kashafuzu fainali hizo hapo mwakani.
Mbio zimebaki kwa Tanzania anaeshika nafasi ya 2 kwa kuwa na points 7 na hasi ya goli 1 huku nafasi ya 3 akishika Uganda akiwa na points 4 na hasi ya goli 3.

Kiuhalisi Stars na Uganda wote bado wako na nafasi kutegemeana na matokeo ya mechi zao za mwisho.

Huku Stars yy akitafuta sare tu dhidi ya Algeria bila kujali matokeo ya Waganda kule dhidi ya Niger.
Au Stars akifungwa na Algeria basi aombe asifungwe goli nyingi wakat huo akimuombea Uganda matokeo ya Sare.
Ugumu unakuja pale ambapo kiuhalisia ni ngumu Stars kupata matokeo away tena kwa Algeria hapa binafsi sina matuamini hata kidogo hata sara tu ni ngumu sana kwa aina ya mpira tunaocheza ukilinganisha na kiwango cha waarabu. Kwangu naona hii game Stars akipoteza na hesabu zitaharibika zadi pale tutakapochezea kichapo cha goli nyingi kuanzia labda 3 n.k au hata 2 tu alafu wakati huo Uganda akamfunga Niger.

Ntakuwa wa mwisho kuamini ikiwa Stars itafuzu kwakuwa ninaamini Tutafungwa na waarabu na c chini ya goli moja pekee na wakati huo nawapa Waganda nafasi ya kumfunga Niger.
Wenzetu Waganda anagalau hatua kama izi huwa wanajua nin wanachokitaka na ni wazur na wana uwezo wa kupata matokeo away kwa timu aina ya Niger wanajua nin wanakipambania, ila cc bado nahic cc huwa tunacheza tu ila hatushindani.

Nawaona waganda wakiungana na Algeria. hatuna uwezo wa kuwafunga Algeria na kutoa nao sare kwao, iyo nafasi ni finyu na ndogo kuliko ngamia kupenya kwa tundu la sindano, wale jamaa walishatupiga hadi goli 7 kule kwao.
waganda uwezo wa kunfunga Niger wanao.

Ndio U-Taifa ni muhimu lkn huwez kwepa uhalisia. Hata Ukinambia ni bet ntaondoa mahaba na U-Taifa pembeni mkeka ntawapa Algeria na Uganda kushinda.
Pale wapeleke Yanga tu, maana wanamjua shughuli yake na huyo USM ALGER alikuwa na starters 4 jana. Teh teh teh.
 
Hata tukifuzu huko tunaenda kutia aibu, tutakula vipigo hadi tuchakae
 
Nafasi ya Stars kufuzu Afcon ni kubwa sana. Uwezo wa kuisimamisha Algeria kwao upo kwa kutumia wachezaji wa Yanga. Wanacheza popote bila hofu.

Kocha Adel apange mabeki watatu wa kati Bacca, Nondo na Kennedy na kujaza viungo wengi Mudathir, Mauya na Mzamiru wote wanakaba hadi upepo pembeni acheze Farid Ili tupoteze muda kwa kumiliki mpira na kuvizia counter attacks!

Mbele wabaki kina Samata, Kibu, Sopu na Msuva,

Sasa ni zamu yetu Afcon Njia nyeupeee! Uganda watapigwa goli nyingi Niger hawapendi dharau kwao!
 
Nafasi ya Stars kufuzu Afcon ni kubwa sana. Uwezo wa kuisimamisha Algeria kwao upo kwa kutumia wachezaji wa Yanga. Wanacheza popote bila hofu.

Kocha Adel apange mabeki watatu wa kati Bacca, Nondo na Kennedy na kujaza viungo wengi Mudathir, Mauya na Mzamiru wote wanakaba hadi upepo pembeni acheze Farid Ili tupoteze muda kwa kumiliki mpira na kuvizia counter attacks!

Mbele wabaki kina Samata, Kibu, Sopu na Msuva,
Tangu tumecheza nao mbinu zote iz zilishafeli na hatujawahi toboa zaid ya vipigo vya goli 7 tu
 
Jana tumeshuhudia Stars ikishinda tena kwa mbinde goli 1 kwa sufuri dhidi ya Niger, huku Algeria akiifunga Uganda 2-1 . Msimamo hadi sasa ukionesha Algeria akiongoza kundi na akiwa tayari kashafuzu fainali hizo hapo mwakani.
Mbio zimebaki kwa Tanzania anaeshika nafasi ya 2 kwa kuwa na points 7 na hasi ya goli 1 huku nafasi ya 3 akishika Uganda akiwa na points 4 na hasi ya goli 3.

Kiuhalisi Stars na Uganda wote bado wako na nafasi kutegemeana na matokeo ya mechi zao za mwisho.

Huku Stars yy akitafuta sare tu dhidi ya Algeria bila kujali matokeo ya Waganda kule dhidi ya Niger.
Au Stars akifungwa na Algeria basi aombe asifungwe goli nyingi wakat huo akimuombea Uganda matokeo ya Sare.
Ugumu unakuja pale ambapo kiuhalisia ni ngumu Stars kupata matokeo away tena kwa Algeria hapa binafsi sina matuamini hata kidogo hata sara tu ni ngumu sana kwa aina ya mpira tunaocheza ukilinganisha na kiwango cha waarabu. Kwangu naona hii game Stars akipoteza na hesabu zitaharibika zadi pale tutakapochezea kichapo cha goli nyingi kuanzia labda 3 n.k au hata 2 tu alafu wakati huo Uganda akamfunga Niger.

Ntakuwa wa mwisho kuamini ikiwa Stars itafuzu kwakuwa ninaamini Tutafungwa na waarabu na c chini ya goli moja pekee na wakati huo nawapa Waganda nafasi ya kumfunga Niger.
Wenzetu Waganda anagalau hatua kama izi huwa wanajua nin wanachokitaka na ni wazur na wana uwezo wa kupata matokeo away kwa timu aina ya Niger wanajua nin wanakipambania, ila cc bado nahic cc huwa tunacheza tu ila hatushindani.

Nawaona waganda wakiungana na Algeria. hatuna uwezo wa kuwafunga Algeria na kutoa nao sare kwao, iyo nafasi ni finyu na ndogo kuliko ngamia kupenya kwa tundu la sindano, wale jamaa walishatupiga hadi goli 7 kule kwao.
waganda uwezo wa kunfunga Niger wanao.

Ndio U-Taifa ni muhimu lkn huwez kwepa uhalisia. Hata Ukinambia ni bet ntaondoa mahaba na U-Taifa pembeni mkeka ntawapa Algeria na Uganda kushinda.
Tutanunua hii mechi.

Siku hizi hata sisi na Giants africa, mbinu hasi tunazo.

Yanga na Simba waungane kwenye figisu chama lifuzu
 
Nafasi ya Stars kufuzu Afcon ni kubwa sana. Uwezo wa kuisimamisha Algeria kwao upo kwa kutumia wachezaji wa Yanga. Wanacheza popote bila hofu.

Kocha Adel apange mabeki watatu wa kati Bacca, Nondo na Kennedy na kujaza viungo wengi Mudathir, Mauya na Mzamiru wote wanakaba hadi upepo pembeni acheze Farid Ili tupoteze muda kwa kumiliki mpira na kuvizia counter attacks!

Mbele wabaki kina Samata, Kibu, Sopu na Msuva,

Sasa ni zamu yetu Afcon Njia nyeupeee! Uganda watapigwa goli nyingi Niger hawapendi dharau kwao!
Eti wachezaji wa Yanga, unadhani Marumo wale?

Halafu kwani timu inaingiza wachezaji wangapi uwanjani?
 
Ukiangalia Algeria sasa hivi wanafanya rotation kubwa ya wachezaji. Ni moja ya nchi zenye hazina kubwa ya wachezaji wanaocheza nje ya nchi. Nimeangalia kikosi kilichoanza dhidi ya Uganda, hakuna mchezaji hata mmoja aliyeanza mechi ya leo dhidi ya Tunisia.
 
Jana tumeshuhudia Stars ikishinda tena kwa mbinde goli 1 kwa sufuri dhidi ya Niger, huku Algeria akiifunga Uganda 2-1 . Msimamo hadi sasa ukionesha Algeria akiongoza kundi na akiwa tayari kashafuzu fainali hizo hapo mwakani.

Mbio zimebaki kwa Tanzania anaeshika nafasi ya 2 kwa kuwa na points 7 na hasi ya goli 1 huku nafasi ya 3 akishika Uganda akiwa na points 4 na hasi ya goli 3.

Kiuhalisi Stars na Uganda wote bado wako na nafasi kutegemeana na matokeo ya mechi zao za mwisho.

Huku Stars yy akitafuta sare tu dhidi ya Algeria bila kujali matokeo ya Waganda kule dhidi ya Niger.
Au Stars akifungwa na Algeria basi aombe asifungwe goli nyingi wakat huo akimuombea Uganda matokeo ya Sare.

Ugumu unakuja pale ambapo kiuhalisia ni ngumu Stars kupata matokeo away tena kwa Algeria hapa binafsi sina matuamini hata kidogo hata sara tu ni ngumu sana kwa aina ya mpira tunaocheza ukilinganisha na kiwango cha waarabu. Kwangu naona hii game Stars akipoteza na hesabu zitaharibika zadi pale tutakapochezea kichapo cha goli nyingi kuanzia labda 3 n.k au hata 2 tu alafu wakati huo Uganda akamfunga Niger.

Ntakuwa wa mwisho kuamini ikiwa Stars itafuzu kwakuwa ninaamini Tutafungwa na waarabu na c chini ya goli moja pekee na wakati huo nawapa Waganda nafasi ya kumfunga Niger.
Wenzetu Waganda anagalau hatua kama izi huwa wanajua nin wanachokitaka na ni wazur na wana uwezo wa kupata matokeo away kwa timu aina ya Niger wanajua nin wanakipambania, ila cc bado nahic cc huwa tunacheza tu ila hatushindani.

Nawaona waganda wakiungana na Algeria. hatuna uwezo wa kuwafunga Algeria na kutoa nao sare kwao, iyo nafasi ni finyu na ndogo kuliko ngamia kupenya kwa tundu la sindano, wale jamaa walishatupiga hadi goli 7 kule kwao.
waganda uwezo wa kunfunga Niger wanao.

Ndio U-Taifa ni muhimu lkn huwez kwepa uhalisia. Hata Ukinambia ni bet ntaondoa mahaba na U-Taifa pembeni mkeka ntawapa Algeria na Uganda kushinda.
Hivi taifa halina vijana wenye vipaji mikoani wakawekwa kambini? Uchaguliwe mkoa wenye baridi nyanda za juu vijana wafuliwe vizuri! Nimeangalia ile mechi kama sio juhudi binafsi za msuva watu walikuwa wanakimbia kimbia tu!
 
Back
Top Bottom