Nitakuwa wa Mwisho kumhukumu Masanja Kadogosa na Watendaji TRC

Nitakuwa wa Mwisho kumhukumu Masanja Kadogosa na Watendaji TRC

Ranger9

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2021
Posts
1,613
Reaction score
3,002
TRC wanajichanganya sana, na pengine mwisho wa siku Masanja Kadogosa itabidi afungwe jiwe shingoni na kutupwa chini ya treni, lakini TRC wangesema waziwazi kuwa pesa zilizozidi kwenye bei ya behewa imekwenda kusaidia shughuli za chama ikiwemo mkutano mkuu unaoendelea. Mjadadala ungeshakwisha!

Ni bahati mbaya kwamba hata Kigwangalla hajui hili, wanachama wenzie wanamshangaa.
 
Akisema hivyo si ndio atakuwa ameuwasha moto man au, hicho chama kina ruzuku hela za maendeleo ya serikali zitatumikaje hivyo?
 
Kwanini mlete behewa za long haul wakati treni majaribio ni Morogoro mwisho?
 
Ni kweli utaratibu ndio ulivyo huwa tunazidisha sifuri ili zinazoźidi tunazitumia kwenye shughuli za chama nk..kule kwenye ile mifuko mmepiga sana kelele tumeona tujiongeze kwa namna nyingine.
 
Back
Top Bottom