Nitakuwa wa mwisho Kuuamini huu Upuuzi ambao naona Simba SC yangu wanaanza kutaka Kuutumia kama sababu ya Kushindwa

Siku zingine zinarudi eeehhh...
 
Jombaa mbona hueleweki? unawalaumu kushindwa kushinda Dar wakati unasema mpemba wako alishasema ni droo au kufungwa sisi?
Simba wapo sahihi,kwanini mwamuzi kabadilishwa ghafla tena mwenye rekodi ya rushwa?mazembe nao walikuja kwa style hiyohiyo,unlike vita wao walianza kulalamika kabla na wakatoa taarifa Caf kwamba simba inadaiwa kuwa na tabia za hovyo?kama hiyo ni technic so let it be,Tena kina Magori wakazie kabisa hilo suala lipigiwe kelele hadi vyombo vya michezo duniani visikie kama kulikuwa na nia ovu basi haitafanyika.
 

Hopeless and Swine.
 
Mkibadilishiwa hakimu pale Kisutu Mna lalamika mpk .Sasa unaona ajabu gani Simba kulala mikia mwamuzi mla Rushwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli huwa unauma siku zote, na wengi wetu huwa hatupendi ukweli ila ukweli humweka mtu huru daima!! Ukistaajabu ya tp mazembe utashangaa ya mamelod.... Ni swala la muda tu
 

Gentamycine usiwe na badilika badilika hebu angalia hapa chini ulivyoidhalilisha kamati ya usajili wakati walipomleta Kotei
 

Attachments

  • 1554871691968.png
    65.8 KB · Views: 19
Gentamycine usiwe na badilika badilika hebu angalia hapa chini ulivyoidhalilisha kamati ya usajili wakati walipomleta Kotei

Hata pale ukiwa unafanya Mapenzi ( Unangonoka ) usipobadilika badilika huwezi Kuusikia wala Kuupata Utamu na Raha Kunoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…