Nitakuwa wa mwisho Kuuamini huu Upuuzi ambao naona Simba SC yangu wanaanza kutaka Kuutumia kama sababu ya Kushindwa

2mbili on duty

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jama
We jamaa kweli hueleweki kuna uzi mmoja umemkandia sana kotei wakati anakuja simba mpaka ukatishia kuihama timu leo wamsifia kupita maelezo 😂😂
 
Gentamycine usiwe na badilika badilika hebu angalia hapa chini ulivyoidhalilisha kamati ya usajili wakati walipomleta Kotei


We jama

We jamaa kweli hueleweki kuna uzi mmoja umemkandia sana kotei wakati anakuja simba mpaka ukatishia kuihama timu leo wamsifia kupita maelezo 😂😂

Kwani Wewe huwezi Kumchukia Mwanamke lakini baadae huyo huyo ukaja Kumuoa na Kuishi nae Maisha yako yote? Hopeless!
 
Kwani Wewe huwezi Kumchukia Mwanamke lakini baadae huyo huyo ukaja Kumuoa na Kuishi nae Maisha yako yote? Hopeless!
Sasa mambo ya mwanamke yamefikaje hapa
Afu pia huwezi jibu bila kutumia maneno yasiyo na staha. Watu Charismatic huwa hawabehave kama ww badilika
 
Sasa mambo ya mwanamke yamefikaje hapa
Afu pia huwezi jibu bila kutumia maneno yasiyo na staha. Watu Charismatic huwa hawabehave kama ww badilika

Inaonekana hicho Kipengele cha Mimi kuwa ' Charismatic Fella ' achilia mbali hivyo vingine vya ' Purely Talented, Game Changer and Entertainer ' Kinakuumiza sana Mkuu. Basi kichukue Wewe ufurahi!
 
Nishagundua lengo lako... Huna jipya mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana Simba huenda akatinga nusu fainali? Itakuwa burudani kweli kweli.
 
Ina maana Simba huenda akatinga nusu fainali? Itakuwa burudani kweli kweli.

Zijue nchi Tano ( 5 ) za Afrika zinazoongoza kwa Uchawi / Ndumba ( au Kindoki kwa Kilingala / Kikongo )

1. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ( zamani Zaire au Leopold Ville )
2. Nigeria
3. Afrika Kusini
4. Ivory Coast
5. Senegal

Kazi Kwako / Kwenu.
 
Wewe boya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana hicho Kipengele cha Mimi kuwa ' Charismatic Fella ' achilia mbali hivyo vingine vya ' Purely Talented, Game Changer and Entertainer ' Kinakuumiza sana Mkuu. Basi kichukue Wewe ufurahi!
Mkuu huwa unapenda sana ligi, usijali we liache mi ntalichukua ili nifurahi.
 
Nadhani mawazo ya mtu huwa sawa na matendo yake.Waamzi wote wana mapungufu ila wengine wamezidiwa na mapungufu.
Simba wana haki ya kulalamika kwa kuwa michezo ya kubebana caf ipo sana.
Kiukweli bila figisu kuna viashiria vya mazembe kubebwa hapo hata ikiwa si kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinajimu siku tarehe na muda wa MAZEMBE/SIMBA viko upande wa SIMBA,Itahitaji nguvu ZIADA ZA KIBINADAMU AMBAZO ZITADHIHIRIKA WAZI kupindua nguvu hzo za asili,Pia unaweza uliza swali la kinajimu na likatoa majibu tukio fulani linalokutatiza .NA attach chart ya Swali la kinajiumu kuuliza iwapo SIMBA itafuzu kwa SEMI FINAL lililoulizwa Tar 9/4 saa 12.20 katika mji wa Dar es salaam nchini TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…