Nitakuwa wa mwisho Kuukubali 'Unafiki' huu wa 'Kisiasa' hasa katika nyakati hizi za 'Kampeni' za lala salama nchini

Nitakuwa wa mwisho Kuukubali 'Unafiki' huu wa 'Kisiasa' hasa katika nyakati hizi za 'Kampeni' za lala salama nchini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
TAARIFA MPYA: Mhusika Mkuu wa uharibifu uliotokea kwenye studio za prodyuza @S2kizzy ameshakamatwa na wenzake 17 wanatafutwa. Aidha, wafanyakazi wa studio hiyo waliokuwa wameshikiliwa na polisi wameachiwa. Tunaendelea kuhakikisha haki inatendeka.

msemajimkuuwaserikali

Nadhani kama kuna tukio ambalo nilitegemea Watu wa Serikali pamoja na CCM nzima hadi Jeshi la Polisi wangelivalia njuga kwa nguvu zote na hata 'Kulikemea' kwa 'Kumuadhibu' Mratibu wake Mkuu ambaye alikuwa ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda ni lile la Kuvamia Ofisi za Clouds Media Group. Hakuna Kitu nachukia kama 'Unafiki' hapa duniani.
 
Bila kuwa mnafiki huwezi kuwa mwana CCM. Leo hii mwenyekiti wa chama anamnadi Gwajima kuwa anastahili kuwa kiongozi maana yake ni kwamba Geajima ni mtu safi.

Gwajima alipotoa mpaka kopi ya result script vya RC kuwa huyu mtu alipata F,F,F.... mwenyekiti wa chama hakuchukua hatua yeyote ile.
 
Halafu ndiyo huwa 'tunapendwa' kweli kweli na Mwenyezi Mungu pamoja na Malaika wake Wakuu. Na huwa anatulinda vilivyo pia dhdi ya Maadui.
Kwendra huko. Nyie mnalindwa na MUNGU? Kama mnaamini uwepo wa MUNGU mbona mnatembea na magari ya deraya, mibunduki isiyo na idadi na helicopter angani?

Mnaogopa hata wanawake?

Mnamfanyia fujo CPA, Matiko, Mdee mnamzuai kampeni. Kimambi tu Yuko Ulaya alilifanya jeshi kufagia barabara. Je wakija watoto wa kiume wawili?
 
Kwendra huko. Nyie mnalindwa na MUNGU? Kama mnaamini uwepo wa MUNGU mbona mnatembea na magari ya deraya, mibunduki isiyo na idadi na helicopter angani?
Mnaogopa hata wanawake?
Mnamfanyia fujo CPA, Matiko, Mdee mnamzuai kampeni. Kimambi tu Yuko Ulaya alilifanya jeshi kufagia barabara. Je wakija watoto wa kiume wawili?
Mkuu una Ugomvi binafsi na Mimi au? Una uhakika kuwa hizi 'Privileges' zote tajwa hapa Mimi GENTAMYCINE nazipata? Kuwa CCM ni Kosa kubwa?
 
Mkuu una Ugomvi binafsi na Mimi au? Una uhakika kuwa hizi 'Privileges' zote tajwa hapa Mimi GENTAMYCINE nazipata? Kuwa CCM ni Kosa kubwa?
Kaka salama?
Mbona unajistukia? Mimi nilikua namsema makamu wa rais wa Kenya. Be. Ruto
 
Kaka salama?
Mbona unajistukia? Mimi nilikua namsema makamu wa rais wa Kenya. Be. Ruto
Una uhakika kabisa wa 100% kuwa ulichokiandika pale kilikuwa hakinilengi au hutaka kunifikishia Mimi? Tena kuwa makini sana nami 'Juha' Wewe.
 
Enheeee huu sasa ndio huo inafiki wenyewe

Ni mwaka juzi tu mlikua mnaruka mguu mmoja juu pale Gwajima aliposimama kwenye majukwaa yenu na kuongea maneno ya kashfa hamkujali kia ana makandokando

Leo mmegeuka tena kwa Gwaji huyohuyo (aliekua wenu) eti mnnataka kutushawishi kua hafai si mngetuambia pale alippkua wenu?

Moja kati ya kosa wanalofanya waandika mada humu Jf ni kudhani kwamba watanzania hawana akili
Bila kuwa mnafiki huwezi kuwa mwana CCM. Leo hii mwenyekiti wa chama anamnadi Gwajima kuwa anastahili kuwa kiongozi maana yake ni kwamba Geajima ni mtu safi.

Gwajima alipotoa mpaka kopi ya result script vya RC kuwa huyu mtu alipata F,F,F.... mwenyekiti wa chama hakuchukua hatua yeyote ile.
 
Enheeee huu sasa ndio huo inafiki wenyewe

Ni mwaka juzi tu mlikua mnaruka mguu mmoja juu pale Gwajima aliposimama kwenye majukwaa yenu na kuongea maneno ya kashfa hamkujali kia ana makandokando

Leo mmegeuka tena kwa Gwaji huyohuyo (aliekua wenu) eti mnnataka kutushawishi kua hafai si mngetuambia pale alippkua wenu?

Moja kati ya kosa wanalofanya waandika mada humu Jf ni kudhani kwamba watanzania hawana akili
Wakati tupo nae alikuwa hajacheza muvi za ngono, wala akuahidi kugeuza misikiti kuwa Sunday schools, ila kumbuka wakati tupo nae alikuwa anatumia madawa ya kulevya vipi huko kwenu ameacha kutumia? Au nanyie mmesahau kuwa ni teja huyo?
 
Wakati tupo nae alikuwa hajacheza muvi za ngono, wala akuahidi kugeuza misikiti kuwa Sunday schools, ila kumbuka wakati tupo nae alikuwa anatumia madawa ya kulevya vipi huko kwenu ameacha kutumia? Au nanyie mmesahau kuwa ni teja huyo?
Nimeona mwamba mmoja humu anadai Gwajima alimchukua mke wa Ima,

Kwa kumbukumbu zangu hilo lilitokea wakati Gwaj anavaa gwanda mbona sijakuona ukilikemea mkuu?
 
Nimeona mwamba mmoja humu anadai Gwajima alimchukua mke wa Ima,

Kwa kumbukumbu zangu hilo lilitokea wakati Gwaj anavaa gwanda mbona sijakuona ukilikemea mkuu?
Mkuu mimi naongelea vitu vyenye ushahidi, video zipo akitafuna kondoo, video ipo akisema misikiti kuwa ...... pia kumbuka alishakaa sero kwa kesi ya madawa
 
Angekuwa sio CCM uyo hakuna ambaye angeenda tukio linatumika kisiasa.
 
Bila kuwa mnafiki huwezi kuwa mwana CCM. Leo hii mwenyekiti wa chama anamnadi Gwajima kuwa anastahili kuwa kiongozi maana yake ni kwamba Geajima ni mtu safi.

Gwajima alipotoa mpaka kopi ya result script vya RC kuwa huyu mtu alipata F,F,F.... mwenyekiti wa chama hakuchukua hatua yeyote ile.
watumiaji wa mtandao wakiwa nyuma ya kibodi hujifanya hawajawahi kua wanafiki na ni wasafi hawana kosa lolote, kazi yao kubwa ni kuwakosoa na kuwahukumu watu, ifike hatua nafsi zetu ziwe zinatusuta kuwahukumu watu as if sisi ni wakamilifu, mtu kuwa kiongozi hakumuondelei sifa ya kukosea kama mwanadamu, tubadilikeni hizi tabia si rafiki katika kujenga jamii bora
 
TAARIFA MPYA: Mhusika Mkuu wa uharibifu uliotokea kwenye studio za prodyuza @S2kizzy ameshakamatwa na wenzake 17 wanatafutwa. Aidha, wafanyakazi wa studio hiyo waliokuwa wameshikiliwa na polisi wameachiwa. Tunaendelea kuhakikisha haki inatendeka.

msemajimkuuwaserikali

Nadhani kama kuna tukio ambalo nilitegemea Watu wa Serikali pamoja na CCM nzima hadi Jeshi la Polisi wangelivalia njuga kwa nguvu zote na hata 'Kulikemea' kwa 'Kumuadhibu' Mratibu wake Mkuu ambaye alikuwa ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda ni lile la Kuvamia Ofisi za Clouds Media Group. Hakuna Kitu nachukia kama 'Unafiki' hapa duniani.
@GENTAMYCINE

Hili jukwaa huwaga 'unalitendeaga' vyema kabisa maana mada huwaga zenye mantiki,Ila kule kwenye Mambo ya sports huwaga 'unaendeshwaga' na mihemko na usimba.
 
Back
Top Bottom