Nitakuwepo ifikapo Mwaka 2100

Nitakuwepo ifikapo Mwaka 2100

Kufa mapema ni raha sana hamna kuteseka kizembe... Mtu unakuwa mzee hujiwwzi ila bado unataka watu watumie pesa kukuhudumia.
 
Nimeangalia nikahuzuka sana kisha nikapatwa na huzuni, hofu, mashaka na woga kufika Mwaka 2100. Wakuu kwa matazamio yangu ya haraka haraka kila nikilala na nikiamka napata maono ya sauti ya ndani sauti ya ndani ikiniambia mimi ni mmoja kati ya wale watu waliochaguliwa kuufikia Mwaka 2100.

Nimekua nikiiona Mwaka 2100 jinsi itakavyokua ya tofauti sana na miaka mingine yote iliyopita. Mwaka 2100 ni mwaka ambao umejaa mambo mengi sana ya kustaajabisha. Cha kushangaza ninaishi Mwaka 2025 ila ninajiona km ninauisha Mwaka 2100 ndani yangu.

Mwaka 2100 ni mwaka wa mapinduzi mengi ya teknolojia. Ninapata maono ya sauti ya ndani, sauti ya ndani ikiniambia kuufikia Mwaka 2100 nitakua nina miaka isiyopungua 100 na kadhaa nikiwa sehemu fulani nimezungukwa na familia yenye furaha, upendo na amani familia yenye watoto kadhaa wenye nyuso zenye bashasha na tabasamu muda wote, watoto wakike kwa wakiume, wajukuu, vitukuu, vilembwe, na vilembwekeze.

Sauti ya ndani inaniambia Mwaka 2100 sitaweza tena kutembea mwenyewe bali nitasaidiwa kutolewa sehemu moja kufikishwa sehemu nyingine miguu yangu haitokua na nguvu tena ya kutembea na uoni wa macho yangu utakua hafifu mno, sitokua na kumbukumbu za kutosha za matukio mengi yaliyokwisha pita miaka ya nyuma, sauti ya ndani inaniambia naweza hata nikaulizwa mwaka 2025 rais wa Nchi ya Tanzania alikua nani na nisikumbuke sababu ya uzee nitakao kua nao.

Sauti ya ndani inaendelea kuniambia mwaka 2100 nitaushehekea kwa kipindi kifupi tu baada ya hapa nitaitwa nami bila kusita nitaitika.

Je! Wewe mdau wa JF umejiandaaje kuufikia mwaka 2100?

Je! Wewe mdau wa JF Mwaka 2100 utakua na umri gani?

Je! Mwaka 2100 utakua wapi ukiwa unafanya nini?

Huu uzi ninaomba ubakie hapa mpaka ufikapo Mwaka 2100, nina hakika utafufuka tena ifikapo Mwaka 2100 na mimi nitakuwepo kuja kutoa comment yangu hapa.

Ramadhan Kareem.
Kwarezima njema.
Niishie hapa.
1st January, 2100.
Kuchanganyikiwa is Inevitable
 
Nimeangalia nikahuzuka sana kisha nikapatwa na huzuni, hofu, mashaka na woga kufika Mwaka 2100. Wakuu kwa matazamio yangu ya haraka haraka kila nikilala na nikiamka napata maono ya sauti ya ndani sauti ya ndani ikiniambia mimi ni mmoja kati ya wale watu waliochaguliwa kuufikia Mwaka 2100.

Nimekua nikiiona Mwaka 2100 jinsi itakavyokua ya tofauti sana na miaka mingine yote iliyopita. Mwaka 2100 ni mwaka ambao umejaa mambo mengi sana ya kustaajabisha. Cha kushangaza ninaishi Mwaka 2025 ila ninajiona km ninauisha Mwaka 2100 ndani yangu.

Mwaka 2100 ni mwaka wa mapinduzi mengi ya teknolojia. Ninapata maono ya sauti ya ndani, sauti ya ndani ikiniambia kuufikia Mwaka 2100 nitakua nina miaka isiyopungua 100 na kadhaa nikiwa sehemu fulani nimezungukwa na familia yenye furaha, upendo na amani familia yenye watoto kadhaa wenye nyuso zenye bashasha na tabasamu muda wote, watoto wakike kwa wakiume, wajukuu, vitukuu, vilembwe, na vilembwekeze.

Sauti ya ndani inaniambia Mwaka 2100 sitaweza tena kutembea mwenyewe bali nitasaidiwa kutolewa sehemu moja kufikishwa sehemu nyingine miguu yangu haitokua na nguvu tena ya kutembea na uoni wa macho yangu utakua hafifu mno, sitokua na kumbukumbu za kutosha za matukio mengi yaliyokwisha pita miaka ya nyuma, sauti ya ndani inaniambia naweza hata nikaulizwa mwaka 2025 rais wa Nchi ya Tanzania alikua nani na nisikumbuke sababu ya uzee nitakao kua nao.

Sauti ya ndani inaendelea kuniambia mwaka 2100 nitaushehekea kwa kipindi kifupi tu baada ya hapa nitaitwa nami bila kusita nitaitika.

Je! Wewe mdau wa JF umejiandaaje kuufikia mwaka 2100?

Je! Wewe mdau wa JF Mwaka 2100 utakua na umri gani?

Je! Mwaka 2100 utakua wapi ukiwa unafanya nini?

Huu uzi ninaomba ubakie hapa mpaka ufikapo Mwaka 2100, nina hakika utafufuka tena ifikapo Mwaka 2100 na mimi nitakuwepo kuja kutoa comment yangu hapa.

Ramadhan Kareem.
Kwarezima njema.
Niishie hapa.
1st January, 2100.
In 2100, the dust from our bones will be gone
 
Whoever watches this or reads this thread from the year 2100 to 5000 should know that I was here in 2024. Be grateful, enjoy life—it's short. Don't let people's opinions weigh you down; just smile and keep moving.


As Eleanor Roosevelt once said, 'Do what you feel in your heart to be right, for you’ll be criticized anyway.
 
2030 tu kufika heka heka,itakuja kua 2100…And i can assure you that hii jamii forum itakua haipo tena kufika hyo 2100.
 
Whoever watches this or reads this thread from the year 2100 to 5000 should know that I was here in 2024. Be grateful, enjoy life—it's short. Don't let people's opinions weigh you down; just smile and keep moving.


As Eleanor Roosevelt once said, 'Do what you feel in your heart to be right, for you’ll be criticized anyway.
Amen, Be blessed 🤲 to all 2100 people's
 
Back
Top Bottom