Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mwendawazimu anatakiwa kufungwa jela au kupelekwa hospitali?We mwendawazimu bora ufungwe jela tu.
DAH KWELI HII ILIKUWA PROMO
Malia Obama kaja TanzaniaDAH KWELI HII ILIKUWA PROMO
BADO UNASUMBUA? KWANIN USIWE KIMYA KAMA ROMA, NONDO, NA WENGNEO? AU WEWE HUKUPEWA MAFUNZO KAMA HAO?
Deogratius Kisandu anataka akuchumbieuache kutumia vilevi na kuporomosha matusi mitandaoni......................................
Kwani kuna kosa amelifanya hapa?,Ametukana mtu?,Ameongea matusi?,Ameongopa?Je,amevunja sheria/Katiba ya nchi?,Km majibu ya maswali hayo ni hapana,sasa kwanini kumhukumu na kumdharau mtu?,JF ni stress free zone kwa hiyo kila mtu ana namna yake ya kupunguza stress,maadamu hajakiuka taratibu.Hata hivyo sio lazima ninachokiandika mimi au wewe kimfae kila mtu.Inawezekana hata wewe kuna mada unaziandika zinakera watu ila wanakustahi tu kwasababu ni haki yako.Hivyo mwache Mtoa mada apunguze stress zake.Una matatzo ya kuruka stage unachokipigania hakijulikani jitu zima unapost ujinga ujinga mitandaon utafikir ndio unabarehe Leo.
Bora ulivyokuwa jela tulipumzika kuona upumbavu wako huku jf.
Badlika jombaa uwe unakua sio unazeeka na ujinga ujinga. Sijui hata wanao unawafundisha nn
Fuatilia post zake za nyuma kwa ID ya Deogratius KisanduKwani kuna kosa amelifanya hapa?,Ametukana mtu?,Ameongea matusi?,Ameongopa?Je,amevunja sheria/Katiba ya nchi?,Km majibu ya maswali hayo ni hapana,sasa kwanini kumhukumu na kumdharau mtu?,JF ni stress free zone kwa hiyo kila mtu ana namna yake ya kupunguza stress,maadamu hajakiuka taratibu.Hata hivyo sio lazima ninachokiandika mimi au wewe kimfae kila mtu.Inawezekana hata wewe kuna mada unaziandika zinakera watu ila wanakustahi tu kwasababu ni haki yako.Hivyo mwache Mtoa mada apunguze stress zake.
Mimi nazungumzia hii.Fuatilia post zake za nyuma kwa ID ya Deogratius Kisandu