Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWELI TALL KAZI YA ZIADA MAANA HATA MIMI NILINIKUTANA NA HALI HIYO KWA WADADA WAWILI.MWANZONI SIKUJUA LAKINI BAADAYE MAMBO NILIYOYAKUTA YALIKUWA NI BALAA. WA KWANZA AKAANZA KWENDA KUNYUME NA MAU,.LE KISIRI BILA KUNIAMBIA YAAANI AKAWA ANAPELEKA KITU KISIRI,MPAKA NILIPOMFUMA .KWELI ILINIUZI MNO, LAKINI AKAJA KUNIAMBIA NIAMBIA NA KUNIONYESHA SABABU JINSI ALIVYO KEKETWA, ALIKUWA ANAKIMBIA MAUMIVU NA NDIO IKAWA ANAFANYA HIVYO.. NDIO IKAWA MWISHO WETU1.hapo romance kwa wingi kabla ya mechi vinginevyo utaaibika.
2.kila mwanamke akishughulikiwa inavyostahili atapiga bao tu/atafika kileleni.
3.hawa inabidi ufanye kazi ya ziada kudill na other sensitive organs.
4.wakati ule anahitaji/wakati anakaribia period ni wakati muafaka sana kuitisha mechi ya kirafiki.
wana jf nisaidieni kwahili nasikia wanawake walio tahiriwa hawana kabisa hamu ya tendo na hawafiki kileleni kabisa sababu ilesehemu yenye kufanya kazi hiyo huwa imeondolewa. nakwamba eti kuna namna ya kuwafanya wakati wa tendo ili wajisikie.
Pamoja na ushauri uliyotolewa na wengine,ni rahisi sana kuwamudu wanawake walifanyiwa tohara.
1. Kwa kuwa wanawake waliotahiriwa ni wasafi na huwa hwanuki maeneo nyeti, nenda chumvini kwa sana.
2. Piga katerero kama huna akili.
pamoja na ushauri uliyotolewa na wengine,ni rahisi sana kuwamudu wanawake walifanyiwa tohara.
1. Kwa kuwa wanawake waliotahiriwa ni wasafi na huwa hwanuki maeneo nyeti, nenda chumvini kwa sana.
2. Piga katerero kama huna akili.