Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,138
Kuna dogo anatafuta binti anaejishughulisha na maswala ya Bima amuweke ndani..Mimi ninatafuta humu? Hiyo ishu ni ya 5yrs ago, hata hivo siwezi tafuta mwanaume jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dogo anatafuta binti anaejishughulisha na maswala ya Bima amuweke ndani..Mimi ninatafuta humu? Hiyo ishu ni ya 5yrs ago, hata hivo siwezi tafuta mwanaume jf
mkuu umemdukua ubongo wake.Mil 5 miaka mitatu,pili hongera kwa tangazo lako kuwa uko single and searching ujumbe tumeupata,tutaufanyia kazi
Ni kama nakukumbuka hivi,bado hujaolewa kumbe?Miaka kama 5 iliyopita nikiwa a bado nina nidhamu ya woga na upendo wa dhati kweri kweriiiiiy, nilitongozwaga na mkaka ambae tulikutana kwenye biashara za magari, nikaweka kipeperushi changu kwenye gari nikasepa mara akaniita, wee dada rudi hapa umeweka nini kwenye gari yangu? Nikamuelezeaaaa , akauliza ofisi zenu ziko wapi nikamjibu.
Akauliza umeolewa nikasema hapana, nipe no zako nimekupenda, kwa ujinga nikamjibu nina mchumba siwezi mimi, alinibembeleza sana huyo kaka akanambia anatakiwa kuoa ndani ya miezi 6, kiukweli nilimkataa na sikumpa no,na vipeperushi vilikuwa na no za ofisi tu.
Sasa baadae mambo si yakaharibika huko nilikokuwa napenda kifala, nikamkumbuka yule kaka, kumbuka mpaka uweke kipepeushi kwenye gari la mtu lazima uangali ni no gani so nikawa nakumbuka no za mwanzo ya mwisho ikagoma.
Nikawaza kwenda tra kuna kaka namjua anisaidie, akaniomba no ya usajili, sikumbuki yote, sikupata msaada maaa ningepata msaada hadi no za simu.
Nikaendelea kukua weeee na kazi nina nyingine nakutana na watu tena wa maana .juzi kwenye msiba wa jpm kabla sijaenda chato, nikaitwa sehemu na waombolezaji wenzangu nikajuana na watu wawili wote nawajua majina , mmoja nina no zake mwingine sina no zaje na siwezi ziomba kwa mwenzake na ninashida kweli kuongea nae.
Plate no yake ina majina yake mfano yaani yamefupishwa J....., sasa nikamcheki jamaa wa tra, ninataka no za hii plate no, majibu yake sasa,
Wee falaa nini, huyu mtu unamjuaje? Nikamwambia ni rafiki ila mimi sina no zake , hata leo tulikuwa nae ila no ya simu noma kuipata ingawa nikimwomba atanipa ila mazingira hayaruhusu😂,akauliza majina yake nikamtajia ndo akaamini namjua. Ofcause hakunipa no yake , akanitaka niende ofisini sikwenda kuna kitu niliwaza si sawa.
Ndo nilijua wenye plate no za majina yao zinalipiwa 5ml kila mwaka, watu wana pesa asikwambie mtu.
So mleta mada, shika vipesa vyako mkononi nenda tra ongea na mtu ila uwe na sababu za maana utapewa kila kitu.
Bi mkubwa..iyo avatar ndio unaenda au unarudi? Kinyume nyume?Mimi ninatafuta humu? Hiyo ishu ni ya 5yrs ago, hata hivo siwezi tafuta mwanaume jf
Acha masihara wewe hupati ng'oooo [emoji28] madai yako ni yeyeeeeeNi kama nakukumbuka hivi,bado hujaolewa kumbe?
Nakumbuka hii scenarioAcha masihara wewe hupati ng'oooo [emoji28] madai yako ni yeyeeeee
Mbona mimi uliwahi kuniomba no yangu.Mimi ninatafuta humu? Hiyo ishu ni ya 5yrs ago, hata hivo siwezi tafuta mwanaume jf
Weka hapa ushahidi, piga screenshot uweke hapa kila mtu aone luckyline alikuomba no?Mbona mimi uliwahi kuniomba no yangu.
Okay, sitakukopesha tena liwalo na liwe ila ngoja tuimalize kwanza siku ya kesho 14/02.Weka hapa ushahidi, piga screenshot uweke hapa kila mtu aone luckyline alikuomba no?
Labda nikukumbushe mimi sijawahi mfata mtu pm humu, kama.nilishachat na mtu pm jua alinifata yeye.
NI vema kupitia website za tra kuliko kusikiliza story za mtaani na kuzileta hapa..mil 5 ni kwa miaka 3...plus laki 5...so jumla 5,500,000 kila miaka 3Miaka kama 5 iliyopita nikiwa a bado nina nidhamu ya woga na upendo wa dhati kweri kweriiiiiy, nilitongozwaga na mkaka ambae tulikutana kwenye biashara za magari, nikaweka kipeperushi changu kwenye gari nikasepa mara akaniita, wee dada rudi hapa umeweka nini kwenye gari yangu? Nikamuelezeaaaa , akauliza ofisi zenu ziko wapi nikamjibu.
Akauliza umeolewa nikasema hapana, nipe no zako nimekupenda, kwa ujinga nikamjibu nina mchumba siwezi mimi, alinibembeleza sana huyo kaka akanambia anatakiwa kuoa ndani ya miezi 6, kiukweli nilimkataa na sikumpa no,na vipeperushi vilikuwa na no za ofisi tu.
Sasa baadae mambo si yakaharibika huko nilikokuwa napenda kifala, nikamkumbuka yule kaka, kumbuka mpaka uweke kipepeushi kwenye gari la mtu lazima uangali ni no gani so nikawa nakumbuka no za mwanzo ya mwisho ikagoma.
Nikawaza kwenda tra kuna kaka namjua anisaidie, akaniomba no ya usajili, sikumbuki yote, sikupata msaada maaa ningepata msaada hadi no za simu.
Nikaendelea kukua weeee na kazi nina nyingine nakutana na watu tena wa maana .juzi kwenye msiba wa jpm kabla sijaenda chato, nikaitwa sehemu na waombolezaji wenzangu nikajuana na watu wawili wote nawajua majina , mmoja nina no zake mwingine sina no zaje na siwezi ziomba kwa mwenzake na ninashida kweli kuongea nae.
Plate no yake ina majina yake mfano yaani yamefupishwa J....., sasa nikamcheki jamaa wa tra, ninataka no za hii plate no, majibu yake sasa,
Wee falaa nini, huyu mtu unamjuaje? Nikamwambia ni rafiki ila mimi sina no zake , hata leo tulikuwa nae ila no ya simu noma kuipata ingawa nikimwomba atanipa ila mazingira hayaruhusu😂,akauliza majina yake nikamtajia ndo akaamini namjua. Ofcause hakunipa no yake , akanitaka niende ofisini sikwenda kuna kitu niliwaza si sawa.
Ndo nilijua wenye plate no za majina yao zinalipiwa 5ml kila mwaka, watu wana pesa asikwambie mtu.
So mleta mada, shika vipesa vyako mkononi nenda tra ongea na mtu ila uwe na sababu za maana utapewa kila kitu.
Mkuu asante sana.NI vema kupitia website za tra kuliko kusikiliza story za mtaani na kuzileta hapa..mil 5 ni kwa miaka 3...plus laki 5...so jumla 5,500,000 kila miaka 3
Kwa kibali cha polisi wa Upelelezi ndio wanatoa.TRA watakupa jina la mmiliki wa Gari bila kujua lengo lako ni nini?
Kama ni hivyo basi ni hatari sana kiusalama.
Afate muongozo upi?Mleta mada fuata miongozo...
Stori ndefu kinoma[emoji23][emoji23][emoji23]Miaka kama 5 iliyopita nikiwa a bado nina nidhamu ya woga na upendo wa dhati kweri kweriiiiiy, nilitongozwaga na mkaka ambae tulikutana kwenye biashara za magari, nikaweka kipeperushi changu kwenye gari nikasepa mara akaniita, wee dada rudi hapa umeweka nini kwenye gari yangu? Nikamuelezeaaaa , akauliza ofisi zenu ziko wapi nikamjibu.
Akauliza umeolewa nikasema hapana, nipe no zako nimekupenda, kwa ujinga nikamjibu nina mchumba siwezi mimi, alinibembeleza sana huyo kaka akanambia anatakiwa kuoa ndani ya miezi 6, kiukweli nilimkataa na sikumpa no,na vipeperushi vilikuwa na no za ofisi tu.
Sasa baadae mambo si yakaharibika huko nilikokuwa napenda kifala, nikamkumbuka yule kaka, kumbuka mpaka uweke kipepeushi kwenye gari la mtu lazima uangali ni no gani so nikawa nakumbuka no za mwanzo ya mwisho ikagoma.
Nikawaza kwenda tra kuna kaka namjua anisaidie, akaniomba no ya usajili, sikumbuki yote, sikupata msaada maaa ningepata msaada hadi no za simu.
Nikaendelea kukua weeee na kazi nina nyingine nakutana na watu tena wa maana .juzi kwenye msiba wa jpm kabla sijaenda chato, nikaitwa sehemu na waombolezaji wenzangu nikajuana na watu wawili wote nawajua majina , mmoja nina no zake mwingine sina no zaje na siwezi ziomba kwa mwenzake na ninashida kweli kuongea nae.
Plate no yake ina majina yake mfano yaani yamefupishwa J....., sasa nikamcheki jamaa wa tra, ninataka no za hii plate no, majibu yake sasa,
Wee falaa nini, huyu mtu unamjuaje? Nikamwambia ni rafiki ila mimi sina no zake , hata leo tulikuwa nae ila no ya simu noma kuipata ingawa nikimwomba atanipa ila mazingira hayaruhusu[emoji23],akauliza majina yake nikamtajia ndo akaamini namjua. Ofcause hakunipa no yake , akanitaka niende ofisini sikwenda kuna kitu niliwaza si sawa.
Ndo nilijua wenye plate no za majina yao zinalipiwa 5ml kila mwaka, watu wana pesa asikwambie mtu.
So mleta mada, shika vipesa vyako mkononi nenda tra ongea na mtu ila uwe na sababu za maana utapewa kila kitu.