Am watching. As always.nikienda kule ntaharibu friday yangu bure......
eti kasema imetuuma ndo maana ofu topiki........ngoja nikachungulie ukisikia mayowe tell I ribimi to come n rescue me
aramba, aramba tena!!Week end ikifika utagundua tu kwa vile nimefunga yaani nasumbuliwa na kiu balaa.
Awe mshereheshaji wa kicheni Pati ya JF kama Maria Roza
Nitampata wapi huyu bibiye.
Am watching. As always.
aramba, aramba tena!!
Jiunge nasi hapa BP ya posta kuna nguli kubwa linakusubiri. washa tukutuku
B hiyo avatar ndo ya ijumaa??
Mwenye mvuto kama FL,
Mpole na mwenye ngozi nyororo kama Lily Flower,
Swagger unyenyekevu na upole kama za JS,
Ateme nondo za ukweli kama WOS,
Mcha Mungu kama Charity,
Mwenye umbile la kibantu kama CheusiMangara.
Mchesi na mwenye kujituma jamvini kama BHT,
Mwenye msimamo usioyumba kama Preta,
Mfia nchi kama Gender Sensitive,
Asijichanganye na jinsia yake kama itei tei lya kite.
Mwenye kujali watoto asiwaache Arusha kama Nyamayao.
Mwenye kuota umilionea kama Binti Maringo.
Awe mshereheshaji wa kicheni Pati ya JF kama Maria Roza
Awe anajua kuimba(Vocalist) kama MAHAI.
Nitampata wapi huyu bibiye.
Hapa umeingia choo cha walemavu! LOL
Niko house of wonders UWN sasa hivi, nikitoka nelekea kasri then nakuja hapo BP ya Posta kabla sijaelekea kwenye contena la vodacom....
Nguli,
Hapo kwenye red umejuaje?
Hapa umeingia choo cha walemavu! LOL
Ngoja nimkonsalti hommie wangu kaizer kwa ajili ya maadili.
Mahai JF is deadly missing u where ar u with the HOLY MAN?
By the way nina performance leo usiku nimeshavaa embu nicheki ninavyong'aa hapa chini
Hahaaa "the holy man" I am around, the HOLY MAN is angry, rejeta inammaliza... avatar yako inanikumbusha mbali sana... lazima tukupeleke Kyle German ukaperform kwa "malkia" wa house of wonders
Mwenye mvuto kama FL,
Mpole na mwenye ngozi nyororo kama Lily Flower,
Swagger unyenyekevu na upole kama za JS,
Ateme nondo za ukweli kama WOS,
Mcha Mungu kama Charity,
Mwenye umbile la kibantu kama CheusiMangara.
Mchesi na mwenye kujituma jamvini kama BHT,
Mwenye msimamo usioyumba kama Preta,
Mfia nchi kama Gender Sensitive,
Asijichanganye na jinsia yake kama itei tei lya kite.
Mwenye kujali watoto asiwaache Arusha kama Nyamayao.
Mwenye kuota umilionea kama Binti Maringo.
Awe mshereheshaji wa kicheni Pati ya JF kama Maria Roza
Awe anajua kuimba(Vocalist) kama MAHAI.
Nitampata wapi huyu bibiye.
Hapo kwenye bold niko kimaslahi zaidi.
Ongeza na hii kiongozi ili upate kitu murua 100%.
Awe mshauri nasaha kama Mwanajamiione
Awe anadeka kama Pearl
Asiwe anatema kiblurey kama Noname.
Ajue kujiandaa kama Shishi.
Awe na sifa ya kujifungua bila woga kama mama 5Js
Awe anakumisi kama babylove................