Nitampata wapi huyu mrembo hapa JF

nikienda kule ntaharibu friday yangu bure......

eti kasema imetuuma ndo maana ofu topiki........ngoja nikachungulie ukisikia mayowe tell I ribimi to come n rescue me
Am watching. As always.
 
Jiunge nasi hapa BP ya posta kuna nguli kubwa linakusubiri. washa tukutuku

Niko house of wonders UWN sasa hivi, nikitoka nelekea kasri then nakuja hapo BP ya Posta kabla sijaelekea kwenye contena la vodacom....
 

Nguli,

Hapo kwenye red umejuaje?
 
Hapa umeingia choo cha walemavu! LOL

Hivi huyu anaweza kuwa mwanaume huyu hata mimi huwa nawasi naye

Niko house of wonders UWN sasa hivi, nikitoka nelekea kasri then nakuja hapo BP ya Posta kabla sijaelekea kwenye contena la vodacom....

Mahai JF is deadly missing u where ar u with the HOLY MAN?


By the way nina performance leo usiku nimeshavaa embu nicheki ninavyong'aa hapa chini


Nguli,

Hapo kwenye red umejuaje?

Nikiangalia maandishi naona mpaka moyo wa mtu.
 
Mahai JF is deadly missing u where ar u with the HOLY MAN?


By the way nina performance leo usiku nimeshavaa embu nicheki ninavyong'aa hapa chini

Hahaaa "the holy man" I am around, the HOLY MAN is angry, rejeta inammaliza... avatar yako inanikumbusha mbali sana... lazima tukupeleke Kyle German ukaperform kwa "malkia" wa house of wonders
 
Hahaaa "the holy man" I am around, the HOLY MAN is angry, rejeta inammaliza... avatar yako inanikumbusha mbali sana... lazima tukupeleke Kyle German ukaperform kwa "malkia" wa house of wonders

itanibidi nijue mambo ya Guten Morgen...zit nakadhalika wkati English yenyewe bado kabisa.
 
Ushauri wangu ni kuwa utangoja na kusubiri, utasubiri sanaaaa...
 


wajua sisi Wai slam hapo mkuu nimeingiwa na mshituko..ajitume jamvini mambo ya mkeke mkuu si mchezo hayana makerere wa nini..
 

aha ? 🙄 lol
 
Best chukua yeyote kati ya hao wanaonekana wana busara safi ila angalia wengine wanawaume zao usijedhani mke wa mtu ni msichana... utahama mji. Ila best hao wote nawakubali laiti ningekuwa si mseja basi ningechumbia mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…