The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Did you enjoy yesterday???Maty nimekusoma ila mngekua wapole kidoogo maana mlivyokua wakali anaweza akaogopa hata kuendelea kusoma na kufanyia kazi mawazo yenu!!!
sasa susy hivyo nilivyobold hapo,
vina umuhimu gani kwenye mahusiano ya ndoa?
Did you enjoy yesterday???
There's more to come and more for you to enjoyThe best date of my life!You are such a gentleman...me was stunned by your beautiful face..sweet words and such a kind smile!Thank you Fynest...you are truly the Finest gentleman around here!
the best date of my life!you are such a gentleman...me was stunned by your beautiful face..sweet words and such a kind smile!thank you fynest...you are truly the finest gentleman around here!
:laugh::laugh::laugh::laugh: Hivi kifua kimeanza lini tena vile hashy????khoo ohoo ohoo....hiki kifua nacho ah!
khoo ohoo ohoo....hiki kifua nacho ah!
There's more to come and more for you to enjoy
Nafikiri muhusika tumempa ushauri wa kutosha sasa ni juu yake kuufanyia kaziMhhh wivu tu!!!
Fynest na Hashy embu acheni kuchakachua thread ya watu...malalamiko yamezidi!!!
Ungekuwa haujaolewa ningekuwahi sema nimechelewa l.o.lha haaaaaaaaaaaaaaaaaa, jifagilie mwanawane
The best date of my life!You are such a gentleman...me was stunned by your beautiful face..sweet words and such a kind smile!Thank you Fynest...you are truly the Finest gentleman around here!
Ungekuwa haujaolewa ningekuwahi sema nimechelewa l.o.l
Wapi Afro Denzi...................?????????
Ungekuwa haujaolewa ningekuwahi sema nimechelewa l.o.l
Huku uko kwenye date..huku unamtaka shemeji!Kweli uchakachuaji mpaka kwenye kuchakachua!Lolz
bacha ndo sifa anazo zitakaa...ndo wana mvutia zaidi
nawashukuru nyote, nimezisoma comments zenu, ukiona kama unavigezo hivyo karibu chemba!!
......Kopooooosssssssss!Ni ubeijing tu umewajaa wamama wa siku hizi toka lini mume akatafutwa mume ndio alipewa jukumu la kutafuta mke, usawa usawa usawa usawa! usawa my foot. Kuna siku tulitoka safari tukapata pancha wababa wacha waanze kutwambia haya usawa sasa wamama badilisheni tairi la gari tukabaki tumeshushuka shuuuuu. mume wako kama yuko atakuja tu wewe subiri na kama hayupo hayupo tu msilazimishe mambo
Nafikiri muhusika tumempa ushauri wa kutosha sasa ni juu yake kuufanyia kazi