abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
wewe uliyea andika hii hoja wewe ndio muhuni namba moja yoote uliyoogea ni uongo mtupu mnajua sana propoganda
Mhuni mwingine huyu Hapa[emoji28][emoji28][emoji28]
Kinachomuuma zaidi Polepole zile V8 aliziagiza yeye, hata hajazitumia sana tayari zimeamia kwa mtoto mdogo kabisa Kihongosi, Na uKM alioahidiwa baada ya Bashiru kuwa KMKWamekata mirija ya Vietiii, analialia kama mtoto kanyang'anywa pipi mdomoni.
π€£π€£π€£
Wakati yeye ni , A+ , 'A plus'π π π π polepole anataka kusema kuna wahuni wanaozidi wale.
Kinachomuuma zaidi Polepole zile V8 aliziagiza yeye, hata hajazitumia sana tayari zimeamia kwa mtoto mdogo kabisa Kihongosi, Na uKM alioahidiwa baada ya Bashiru kuwa KMK
Karma imetenda hakiKinachomuuma zaidi Polepole zile V8 aliziagiza yeye, hata hajazitumia sana tayari zimeamia kwa mtoto mdogo kabisa Kihongosi, Na uKM alioahidiwa baada ya Bashiru kuwa KMK
π π πCo muhun tu bali ni poyoyo
Jamaa lilikuwa shamba sana hili, siku vijana wadogo tu wanasukuma V8
Ccm banah, kuna alisema ana PhD alipofuatila jinsi alivyoipata akamuua mfutiliaji,Hivi Dkt.Msukuma sio muhuni kweli? π³ [emoji15]
Kama ninavyokushughulikia wewe kisogoni.Ndio maana mods wanakushughulikia