Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Rais magufuli ni mgeni kwa Mambo mengi ya kisiasa ndio maana ameharibu kila mahali nitamsamehe kwa sababu ya ugeni wake kwenye mambo ya uongozi kimataifa sisi Kama taifa tuliyumba ndio maana yeye akajiokotea pera (guava) kwenye mpapai.
Mungu anisamehe siwezi kumsamehe bashiru mpaka naingia kaburini!
Kwa sababu yeye ni msomi mkubwa Tanzania haya anayoyafanya Leo KISIASA sisi wengine tunamuangalia kwenye angle ya usomi mahiri wa UD.
Sawa amesaliti usomi ila nacc aturuhusu kwa mioyo yetu kunjufu tumsaliti na kumchukia milele!.
Imetupa picha ya Waafrika wasomi wajinga!
Mungu mkumbuke Tundu Lissu.
Mungu anisamehe siwezi kumsamehe bashiru mpaka naingia kaburini!
Kwa sababu yeye ni msomi mkubwa Tanzania haya anayoyafanya Leo KISIASA sisi wengine tunamuangalia kwenye angle ya usomi mahiri wa UD.
Sawa amesaliti usomi ila nacc aturuhusu kwa mioyo yetu kunjufu tumsaliti na kumchukia milele!.
Imetupa picha ya Waafrika wasomi wajinga!
Mungu mkumbuke Tundu Lissu.