Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
- Thread starter
-
- #81
[emoji23]Bora kuwa zuzu wa CCM sio [emoji23][emoji23][emoji23]Mtanzania mwenzangu usijivue utu wako kwa kumpa kura kibaraka wa wazungu.
Kuwa mzalendo chagua JPM.
Hofu yangu ni kwamba wanaweza kuwa ni wengi kushinda wenye akili timamu.Magufuli atachaguliwa na wasio na akili.
Ccm huwa inachaguliwa na NEC Policcm,mitungi .ila mwaka huu wameula wa chuya,chupi zao zinawatela TL kila neno litokaro mdomoni make.Magufuli atachaguliwa na wasio na akili.
Kumbe nilichogundua hapa nikupiga kura tu mtu nyanyuJina la Chama ndio linawekwa kulingana na Alphabet.
Kilichofannyika mwaka huu ni uoga na aibu kwa CCMView attachment 1602881View attachment 1602882View attachment 1602883
Kuna lugha nzuri imrtumika. Chagua wa chama kingine unayeona ana nguvu kushinda wa Ccm. Ni kama kunywa sumu kuweka V kwenye mgombea wa ccm.Kwenye nafasi ya Mbunge na ya Diwani kama hayupo wa CHADEMA weka V yako kwenye nafasi ya Mgombea yeyote wa Upinzani aliyopo. Waliengua wagombea wetu wa Upinzanl tuwaengue wa kwao hivyo!
Mimi pia nitamwaga Sukari Ziwa Victoria, halaf tuonePamoja na kuwa
1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.
2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku
3. Wamejenga Flyovers.
4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.
5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.
6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano
Ila bado sijasahau
1. Sakata la vyeti feki, dhuluma
2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine
3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda
4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
5. Kupigwa risasi kwa Akwilina
6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.
7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.
8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.
9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.
10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.
11. Ubabe wa polisi kila siku.
12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.
13. Kufungiwa kwa magazeti.
Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.
Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania
View attachment 1602148
Vice versa is trueUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
2015Aiseee lini hii?
Na nakwambia hata umwage tan milioni 900 maji hayatakuwa matamu ng'oo.
Tarehe 28 twende na Magufuli.
Kura tayari imeharibika hii.
Umepoteza kura yako.
Weka akiba ya manenoHivi kuna mtu na akili zake timamu anaweza kumchagua Magufuli?
Nimeuliza tu mkuuWeka akiba ya maneno
Hofu yangu ni kwamba wanaweza kuwa ni wengi kushinda wenye akili timamu.