Uchaguzi 2020 Nitamwaga Sukari ziwa Victoria

Uchaguzi 2020 Nitamwaga Sukari ziwa Victoria

Kwenye nafasi ya Mbunge na ya Diwani kama hayupo wa CHADEMA weka V yako kwenye nafasi ya Mgombea yeyote wa Upinzani aliyopo. Waliengua wagombea wetu wa Upinzanl tuwaengue wa kwao hivyo!
Kuna lugha nzuri imrtumika. Chagua wa chama kingine unayeona ana nguvu kushinda wa Ccm. Ni kama kunywa sumu kuweka V kwenye mgombea wa ccm.
 
Wakichukua Kodi zetu na kugoma kutuletea maendeleo ni mwendo wa kugoma kulipa Kodi tu, huo ni wizi uchukue Kodi za watu then uwanyime maendeleo
 
Niko tayari kumwaga sukari baharini lakn sio kuchagua mateso kwa miaka mingine wanayoita eti tano zaidi, tano zaidi???? Kwa lipi jema mulilowatendea watz.
 
Pamoja na kuwa

1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.

2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku

3. Wamejenga Flyovers.

4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.

5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.

6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano

Ila bado sijasahau

1. Sakata la vyeti feki, dhuluma

2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine

3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda

4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu

5. Kupigwa risasi kwa Akwilina

6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.

7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.

8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.

9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.

10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.

11. Ubabe wa polisi kila siku.

12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.

13. Kufungiwa kwa magazeti.

Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.

Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

View attachment 1602148
Mimi pia nitamwaga Sukari Ziwa Victoria, halaf tuone
 
Wajinga ni wengi ndio wanaigharimu nchi tangu tumepata uhuru.

Unashangaa mtu wa Tandahimba anasifia Ubungo flyover uanabaki unajiuliza hivi sisi tumerogwa na nani?
Wakati huo huo kijijini kwake kuna watoto hawana madarasa, hivi nani katuroga watanzania?

Watu wanapiga kura kwa kushaishiwa kwa kanga na kofia
Mungu atunusuru
 
Back
Top Bottom