Uchaguzi 2020 Nitamwaga Sukari ziwa Victoria

Uchaguzi 2020 Nitamwaga Sukari ziwa Victoria

Siku ya kupiga kura wahi kituoni. Ukiingia ndani ya chumba cha kupigia kura, utapewa karatasi za kupigia kura. Chukua ile jaratasi ya wagombea uraisi. Angalia lile jina la mwisho. Utakuta alama ya vidole viwili yaani nembo ya Chadema. Mbele yake utaona picha ya Salum Mwalim na Mbele yake picha ya Tundu Antipas Lissu. Mwishoni pale kuna sehemu ya kuweka alama. Chukua kalamu weka alama ya V. Usieeke alama nyingine kwenye fomu yako isije ikaharibika. Wakati mwingine wanatumia mhuri wa V. Ikiwa hivyo gonga mhuri kwenye hiyo sehemu mbele ya picha ya Lissu. Usifanye kingine. Kunja fomu yako kaitumbukize kwenye sanduku la kura za uraisi. Mshukuru Mungu kimyakimya kwa imani yako huku ukiomba kuwa kura yako wasiibe. Mbunge halikadhalika Chagua wa Chadema. Diwani wa chadema.
KUMBUKA KANUNI HII: WAKWANZA ATAKUWA WA MWISHO NA WA MWISHO ATAKUWA WA KWANZA,!!! Maana yake weka alama kwa yule wa mwisho kwenye krodha kwa sababu huyo ndiye wa kwanza kwenye matokeo.
 
Pamoja na kuwa

1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.

2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku

3. Wamejenga Flyovers.

4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.

5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.

6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano

Ila bado sijasahau

1. Sakata la vyeti feki, dhuluma

2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine

3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda

4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu

5. Kupigwa risasi kwa Akwilina

6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.

7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.

8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.

9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.

10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.

11. Ubabe wa polisi kila siku.

12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.

13. Kufungiwa kwa magazeti.

Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.

Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

View attachment 1602148
Yule mama achana nae aliwahi wahaidi wasingida kuwapa maji ya kumwagilia ubuyu
 
Pamoja na kuwa

1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.

2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku

3. Wamejenga Flyovers.

4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.

5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.

6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano

Ila bado sijasahau

1. Sakata la vyeti feki, dhuluma

2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine

3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda

4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu

5. Kupigwa risasi kwa Akwilina

6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.

7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.

8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.

9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.

10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.

11. Ubabe wa polisi kila siku.

12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.

13. Kufungiwa kwa magazeti.

Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.

Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

View attachment 1602148
#NIYEYE2020
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Back
Top Bottom