Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
- Thread starter
- #21
Wanawake weusi wampigie kura Meko ili iweje?! AmewadharauHahaha kwani ni MWEUPE?! Yeye anaongea na WEUPE tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake weusi wampigie kura Meko ili iweje?! AmewadharauHahaha kwani ni MWEUPE?! Yeye anaongea na WEUPE tu.
Is that clown Ndungai?! [emoji23]
Wanufaika, kula kulala,wadangaji,.Hivi kuna mtu na akili zake timamu anaweza kumchagua Magufuli?
Yaani hata bibi yangu kule Katoro hamtaki Magufuli kabisa!Wanufaika, kula kulala,wadangaji,.
Tegemeo lao lilikuwa vijijini lkn kwa njaa hii na msoto waliopigwa vijijini awataki hata kusikia.
Mkono mtupu aulambwi,zamu yake kuisoma namba sie tulishamaliza kuisomaYaani hata bibi yangu kule Katoro hamtaki Magufuli kabisa!
Yule mama achana nae aliwahi wahaidi wasingida kuwapa maji ya kumwagilia ubuyuPamoja na kuwa
1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.
2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku
3. Wamejenga Flyovers.
4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.
5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.
6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano
Ila bado sijasahau
1. Sakata la vyeti feki, dhuluma
2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine
3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda
4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
5. Kupigwa risasi kwa Akwilina
6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.
7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.
8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.
9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.
10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.
11. Ubabe wa polisi kila siku.
12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.
13. Kufungiwa kwa magazeti.
Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.
Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania
View attachment 1602148
#NIYEYE2020Pamoja na kuwa
1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.
2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku
3. Wamejenga Flyovers.
4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.
5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.
6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano
Ila bado sijasahau
1. Sakata la vyeti feki, dhuluma
2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine
3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda
4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
5. Kupigwa risasi kwa Akwilina
6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.
7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.
8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.
9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.
10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.
11. Ubabe wa polisi kila siku.
12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.
13. Kufungiwa kwa magazeti.
Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.
Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania
View attachment 1602148
[emoji23][emoji23][emoji23]Yule mama achana nae aliwahi wahaidi wasingida kuwapa maji ya kumwagilia ubuyu
Kwa wana CCMUzi wa kipuuzi sana huu
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]POLEPOLE MWENYEWE ATAMPIGIA KULA TUNDU LISSU....HE TOLD ME
Vipi huoni vema kwenye jedwali?Na nakwambia hata umwage tan milioni 900 maji hayatakuwa matamu ng'oo.
Tarehe 28 twende na Magufuli.
Hayo ndio mnapenda kuambiwa huko Lumumba [emoji23][emoji23][emoji23]Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.