Nitaoa kweli?


walio-oa wanakutamani sana. Maana ndoa zilivyo vimeo, usipime. Tena kama ni mkristo ndio kuwa makini sana, maana ndoa zetu ni kama reli, hazina U-turn ni mpaka kifo kitenganishe.
 
njoo hapa chuo kuna wasomi hawana waume wala wachumba,wao ni kujichubia na minywele ya katani.karibu
 

Is there interest in pursuading you to marry?
 

Pole sana Bw.Msafiri but then kama upo serious there is always a way!Lakini kabla ya yote ni muhimu ukajibu swali hili- Why should you marry or rather what is the importance of marriage?Sababu ya wewe kuoa ni msingi wa wewe kuiona ndoa ktk mwanga ulio bora!!!
 

Ukishindwa kuoa, fanya kinyume chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…