Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,438
- 826
Hi all!
Nina tatizo la usingizi. Kila ikifika saa 4:00 usiku ni lazima nipatwe na usingizi mzito kiasi kwamba wakati mwingine hushindwa hata kuosha kinywa changu kabla ya kulala!
Na jinsi mwili unavyokuwa umechoka, hata inanilazimu kuto kumpa wife haki yake ya chakula cha usiku. Nashukuru wife ameshafika point ya kunielewa kwa hilo.
Lakini nataka kuanza masomo ya elimu ya juu, hakika kwa usingizi huu naamini nitashindwa shule hii. Niliwahi kufika hospitali, nilijibiwa hakuna tatizo ilihali najiona nina tatizo.
Tadhali wataalam nipeni mawazo, nitaondokana vipi na tatizo hili la usingizi? Kama kuna dawa Niambieni ili nijaribu jaribu la kuitumia pengine nitapona.
Nina tatizo la usingizi. Kila ikifika saa 4:00 usiku ni lazima nipatwe na usingizi mzito kiasi kwamba wakati mwingine hushindwa hata kuosha kinywa changu kabla ya kulala!
Na jinsi mwili unavyokuwa umechoka, hata inanilazimu kuto kumpa wife haki yake ya chakula cha usiku. Nashukuru wife ameshafika point ya kunielewa kwa hilo.
Lakini nataka kuanza masomo ya elimu ya juu, hakika kwa usingizi huu naamini nitashindwa shule hii. Niliwahi kufika hospitali, nilijibiwa hakuna tatizo ilihali najiona nina tatizo.
Tadhali wataalam nipeni mawazo, nitaondokana vipi na tatizo hili la usingizi? Kama kuna dawa Niambieni ili nijaribu jaribu la kuitumia pengine nitapona.