hii picha inahusiana vipi na mada?Wewe kweli kichwa maji.
Mambo binafsi utukanwe alafu usiende kushtaki Polisi. Upigwe na mchezaji kama Morrison alafu usiende kushtaki Polisi.
Kapimwe akili, labda ulitakiwa uwe chini ya uangalizi wa madaktari wa Milemb il mwenyewe hujui!
View attachment 2214588
Kunywa maji ukalale!hii picha inahusiana vipi na mada?
😫😫😫😫 kapimwe akili, ni ushauri tu!TFF wanaujua mziki wa huyo manzi. Yeye huwa haingei na mbwa, anaongea na mwenye mbwa. Kama hawajavutiwa uzi na CAF au FIFA basi wafanye huo utopolo
Mimi si shabiki wa Simba. Si muumini wa drama za Barbara Gonzalez
Usifikiri JF haina watu wa intelejensiaMimi Kama shabiki wa Yanga sijaridhishwa na matokeo najiona Kama nimefungwa
Hongera underdog Simba kwa kupata sare
Uwanja upo katika hatua ya kutumika pitch kwa ajili ya mazoezi ya timu ya wakubwa, timu B na timu ya wanawake. Kwani wa Kaunda veepe, au ule aliowagawia Makonda bure kabisa, vipo katika hatua gani, bado mnachora ramani?Mngeleta mada kujadili michango ya ujenzi wa uwanja wenu imefikia wapi kuliko kuleta mashudu kama haya