Nitaongoza wanasimba kwenda mahakamani, acha tz ifungiwe na fifa

Nitaongoza wanasimba kwenda mahakamani, acha tz ifungiwe na fifa

Mngeleta mada kujadili michango ya ujenzi wa uwanja wenu imefikia wapi kuliko kuleta mashudu kama haya
 
Wewe kweli kichwa maji.

Mambo binafsi utukanwe alafu usiende kushtaki Polisi. Upigwe na mchezaji kama Morrison alafu usiende kushtaki Polisi.

Kapimwe akili, labda ulitakiwa uwe chini ya uangalizi wa madaktari wa Milemb il mwenyewe hujui!

View attachment 2214588
hii picha inahusiana vipi na mada?
 
TFF wanaujua mziki wa huyo manzi. Yeye huwa haingei na mbwa, anaongea na mwenye mbwa. Kama hawajavutiwa uzi na CAF au FIFA basi wafanye huo utopolo
 
TFF wanaujua mziki wa huyo manzi. Yeye huwa haingei na mbwa, anaongea na mwenye mbwa. Kama hawajavutiwa uzi na CAF au FIFA basi wafanye huo utopolo
😫😫😫😫 kapimwe akili, ni ushauri tu!
 
Mngeleta mada kujadili michango ya ujenzi wa uwanja wenu imefikia wapi kuliko kuleta mashudu kama haya
Uwanja upo katika hatua ya kutumika pitch kwa ajili ya mazoezi ya timu ya wakubwa, timu B na timu ya wanawake. Kwani wa Kaunda veepe, au ule aliowagawia Makonda bure kabisa, vipo katika hatua gani, bado mnachora ramani?

1652077869966.png
 
Back
Top Bottom