Nitapambana kwa lolote niendelee kusomesha watoto private, shule za serikali nyingi hazijakidhi vigezo vya mazingira, ufundishaji, usalama, lugha

Nitapambana kwa lolote niendelee kusomesha watoto private, shule za serikali nyingi hazijakidhi vigezo vya mazingira, ufundishaji, usalama, lugha

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Elimu sio kusoma tu, kuna mazingira ya kusomea, walimu kusaidia wanafunzi, teknolojia, n.k.

Kusomesha mtoto ni kumweka katika mazingira salama ya kusoma, awe na walimu wanaotimiza wajibu, kujifunza kwa lugha za kimataifa tangu mdogo, n.k.

Ni kweli kuna watoto wana akili zao hata wakisoma shule zisizo na walimu wanafaulu lakini wakipelekwa shule za private kuna mazingira ya kuwafaulisha zaidi, hata wanafunzi wanaofanya vibaya shule za serikali wakipelekwa private kuna uwezekano mkubwa wa kuboresha ufaulu wao sababu kuna msaada zaidi kuoka kwa walimu, vitabu, mazingira, n.k. Kwa ushahidi usio na shaka, wanafunzi wengi wa private wanafaulu kuliko wa shule za serikali (nje ya vipaji maalum)

VYOO
Private wanajitajidi sana kwenye usafi wa vyoo, wapo waajiriwa wa kusafisha vyoo
Shule nyingi za serikali vyoo ni vichafu sana, kuingia chooni kukuta mlima ni kawaida
UWAJIBIKAJI WA WALIMU
Shule nyingi za private kuna walimu wa kutosha na wanafuatiliwa kuingia darasani kufundisha kila kipindi
Walimu wengi wa serikali wamesharidhika na kazi ya kudumu, kukosa vipindi ni kawaida, mwanafunzi kupasua awe kajiongeza sana
LUGHA
Shule za private kujifunza zina utaratibu wa kutumia kiingereza tangu chekechea, wakifika form one washazoea
Shule nyingi za serikali wanatumia kiswahili, ni mpaka form 1 wanatumia kiingereza
COMPUTER
Shule nyingi za private zina madarasa maalum ya computer
Shule nyingi za serikali hata kukuta zina umeme ni muujiza, achilia mbali computer
MRUNDIKANO MADARASANI
Shule za private darasani hakuna kurundikana, ni rahisi mwalimu kumsaidia kila mwanafunzi
Shule nyingi za serikali kuna mrundikano usipime, Mwalimu anakazia wale wenye uwezo tu
MZAZI/MLEZI KUPEWA TAARIFA
Shule za private wanajitahidi kukupa taarifa za maendeleo ya mtoto hata masuala madogo
Shule nyingi za serikali kupata updates za mtoto labda liwe tatizo kubwa sana
USALAMA
Shule za private nyingi zina fensi, geti na mlinzi
Shule nyingi za serikali hakuna fensi, mlinzi wa mchana wala geti
MADAWATI / VITI
Shule za private kila mwanafunzi ana dawati na kiti chake
Shule nyingi za serikali dawati moja wanafunzi wawili, viti changamoto
ADHABU KWA WATOTO
Shule za private nyingi hutoa adhabu kwa kuzingatia vipimo sahihi
Shule nyingi za serikali walimu hawana mipaka ya adhabu, mwanafunzi anaweza kucharazwa viboko 30, kubebeshwa matofali kibao, n.k.
 
Serikalini: Darasa lina watoto 500, mwalimu wa somo ni mmoja tu.
 
Elimu sio kusoma tu, kuna mazingira ya kusomea, walimu kusaidia wanafunzi, teknolojia, n.k.

Kusomesha mtoto ni kumweka katika mazingira salama ya kusoma, awe na walimu wanaotimiza wajibu, kujifunza kwa lugha za kimataifa tangu mdogo, n.k.

PRIVATESERIKALI
Vyoo visafi, wapo waajiriwa wa kusafisha vyooShule nyingi vyoo ni vichafu sana, kuingia chooni kukuta mlima ni kawaida
Walimu wengi wanaofuatiliwa wanafundisha madarasaniWalimu wengi wamesharidhika na kazi ya kudumu, uwajibikaji upo chini, kukosa vipindi ni kawaida,
Kujifunza kwa kiingereza tangu chekechea, wameshazoea wakifika form oneShule nyingi asilimia 99 wanatumia kiswahili, ni mpaka form 1 wanatumia kiingereza
Kujifunza Computer tangu wadogoShule nyingi hata kukuta zina umeme ni muujiza, achilia mbali computer
Darasani hakuna kurundikana, ni rahisi mwalimu kumsaidia kila mwanafunziShule nyingi za serikali kuna mrundikano usipime, Mwalimu anakazia wale wenye uwezo tu
Wanajitahidi kukupa mzazi maendeleo ya mtotokupata updates za mtoto labda liwe tatizo kubwa sana, walimu wana uwajibikaji mdogo
Ulinzi - shule nyingi zina fensi, geti na mlinziShule nyingi hakuna fensi, mlinzi wa mchana wala geti
Kila mwanafunzi ana dawati na kiti chakeShule nyingi dawati moja wanafunzi wawili, viti changamoto
Kwa style ya kusema utapambana uwezavyo naona kama unataka kujitesa tu kwa jambo lisilo la msingi, suala la elimu linategemea ufahamu zaidi wa mtoto ukitoa lugha ya kiingereza mwanafunzi wa private hawezi mzidi mwanafunzi wa gavoo mwenye akili
 
Kwa style ya kusema utapambana uwezavyo naona kama unataka kujitesa tu kwa jambo lisilo la msingi, suala la elimu linategemea ufahamu zaidi wa mtoto ukitoa lugha ya kiingereza mwanafunzi wa private hawezi mzidi mwanafunzi wa gavoo mwenye akili
Suala la akili binafsi ni ishu binafsi lakini wanafunzi wawili wakiwa na akili sawa, yule wa private atamzidi mwenzake kwasababu walimu wanafuatiliwa kufundisha vipindi, hakuna mrundikano daranani inakuwa rahisi mwalimu kutimiza wajibu wake, mazingira ya shule yanadhibiti utoro, kila mwanafunzi ana dawati lake hakuna kusumbuana, n.k.

Ndio maana wanaofaulu wengi ni wa shule za private
 
Annual Meeting_20250113_143044_0000.png
 
Ni akili ya mtoto
Sio akili ya mtoto pekee inatosha, anahitaji pia usaidizi wa walimu, mazingira bora ya kusoma, vitabu, n.k.

Ni kweli kuna watoto wana akili za darasani hata wakijisomea nyumbani bila kwenda shule wanafaulu lakini wakienda shule za private wanafaulu zaidi kwasababu kuna walimu wa kutosha, walimu wanafundisha vipindi vyote, kuna vitabu, mazingira masafi chooni, adhabu sahihi, n.k.

NDIO MAANA WANAFUNZI WENGI WA PRIVATE WANAFAULU ZAIDI
 
Sio akili ya mtoto pekee inatosha, anahitaji pia usaidizi wa walimu, mazingira bora ya kusoma, vitabu, n.k.

Ni kweli kuna watoto wana akili za darasani hata wakijisomea nyumbani bila kwenda shule wanafaulu lakini wakienda shule za private wanafaulu zaidi kwasababu kuna walimu wa kutosha, walimu wanafundisha vipindi vyote, kuna vitabu, mazingira masafi chooni, adhabu sahihi, n.k.
Hujakosea,,ila zipo shule za govern nzuri, kwaio usijitese sana,sio shule zote hazina vyoo vzur,walimu,madawati...nk
 
Hujakosea,,ila zipo shule za govern nzuri, kwaio usijitese sana,sio shule zote hazina vyoo vzur,walimu,madawati...nk
Zipo shule chache sana za serikali nzuri na bado ukiziweka kwenye level ya shule za private hazifui dafu

Shule za vipaji maalum za serikali kama Ilboru, Kibaha, n.k. usije kudanganyika kwamba ni juhudi za walimu, Hizo shule zina wanafunzi waliojaliwa akili za ziada (ma genius), yaani watu wanaingia form 5 washamaliza topic zote huko majumbani walikotoka.
 
Zipo shule chache sana za serikali nzuri na bado ukiziweka kwenye level ya shule za private hazifui dafu

Shule za vipaji maalum za serikali kama Ilboru, Kibaha, n.k. usije kudanganyika kwamba ni juhudi za walimu, Hizo shule zina wanafunzi waliojaliwa akili za ziada (ma genius), yaani watu wanaingia form 5 wasgamaliza topic zote huko majumbani walikotoka, walimu wapo na mishe zao.
Duuuh sawa mkuu
 
Elimu sio kusoma tu, kuna mazingira ya kusomea, walimu kusaidia wanafunzi, teknolojia, n.k.

Kusomesha mtoto ni kumweka katika mazingira salama ya kusoma, awe na walimu wanaotimiza wajibu, kujifunza kwa lugha za kimataifa tangu mdogo, n.k.

Ni kweli kuna watoto wana akili zao hata wakisoma shule zisizo na walimu wanafaulu lakini wakipelekwa shule za private kuna mazingira ya kuwafaulisha zaidi, hata wanafunzi wanaofanya vibaya shule za serikali wakipelekwa private kuna uwezekano mkubwa wa kuboresha ufaulu wao sababu kuna msaada zaidi kuoka kwa walimu, vitabu, mazingira, n.k. Kwa ushahidi usio na shaka, wanafunzi wengi wa private wanafaulu kuliko wa shule za serikali (nje ya vipaji maalum)

VYOO
Private wanajitajidi sana kwenye usafi wa vyoo, wapo waajiriwa wa kusafisha vyoo
Shule nyingi za serikali vyoo ni vichafu sana, kuingia chooni kukuta mlima ni kawaida
UWAJIBIKAJI WA WALIMU
Shule nyingi za private kuna walimu wa kutosha na wanafuatiliwa kuingia darasani kufundisha kila kipindi
Walimu wengi wa serikali wamesharidhika na kazi ya kudumu, kukosa vipindi ni kawaida, mwanafunzi kupasua awe kajiongeza sana
LUGHA
Shule za private kujifunza zina utaratibu wa kutumia kiingereza tangu chekechea, wakifika form one washazoea
Shule nyingi za serikali wanatumia kiswahili, ni mpaka form 1 wanatumia kiingereza
COMPUTER
Shule nyingi za private zina madarasa maalum ya computer
Shule nyingi za serikali hata kukuta zina umeme ni muujiza, achilia mbali computer
MRUNDIKANO MADARASANI
Shule za private darasani hakuna kurundikana, ni rahisi mwalimu kumsaidia kila mwanafunzi
Shule nyingi za serikali kuna mrundikano usipime, Mwalimu anakazia wale wenye uwezo tu
MZAZI/MLEZI KUPEWA TAARIFA
Shule za private wanajitahidi kukupa taarifa za maendeleo ya mtoto hata masuala madogo
Shule nyingi za serikali kupata updates za mtoto labda liwe tatizo kubwa sana
USALAMA
Shule za private nyingi zina fensi, geti na mlinzi
Shule nyingi za serikali hakuna fensi, mlinzi wa mchana wala geti
MADAWATI / VITI
Shule za private kila mwanafunzi ana dawati na kiti chake
Shule nyingi za serikali dawati moja wanafunzi wawili, viti changamoto
ADHABU KWA WATOTO
Shule za private nyingi hutoa adhabu kwa kuzingatia vipimo sahihi
Shule nyingi za serikali walimu hawana mipaka ya adhabu, mwanafunzi anaweza kucharazwa viboko 30, kubebeshwa matofali kibao, n.k.
Kuwa makini shule nyingi private Wana syllabus za USHOGA chunguza
 
Back
Top Bottom