Nitapambana kwa lolote niendelee kusomesha watoto private, shule za serikali nyingi hazijakidhi vigezo vya mazingira, ufundishaji, usalama, lugha

Nitapambana kwa lolote niendelee kusomesha watoto private, shule za serikali nyingi hazijakidhi vigezo vya mazingira, ufundishaji, usalama, lugha

Kuwa makini shule nyingi private Wana syllabus za USHOGA chunguza
Kama huna uzoefu na vitu ni heri utuulize wazoefu.

Shule za private zinafuata mtaala wa Necta, labda kama unazungumzia international schools zinazotumia sylabus ya cambridge
 
Back
Top Bottom