The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Na wewe unasubiri miujiza😂
Bwana yesu asifiweRoho mtakatifu amenijulisha kuwa kabla ya kuisha kwa mwezi huu nitapata kazi nzuri katika taasisi nzuri, itakuwa na mshahara na marupurupu mazuri, na nitafanikiwa kimaisha na kiujuzi.
Asante Yesu.
Napokea kadiri ya imani yangu kwa jina la Yesu.
Ndio mkuu 😎Na wewe unasubiri miujiza😂
AmenIkawe hivyo kwa Jina la Bwana.
AmenMungu akutokee na pokea huo muujiza
jitahidi kufanyia kazi maombi yako
ShukraniKila la kheri mkuu
AmenEnenda sasa. Imani yako imekupatia kazi.
Majukumu mema. Fedha hizo usizitumie vibaya.
Amen pokea sawa sawa na imani yako ya MUNGURoho mtakatifu amenijulisha kuwa kabla ya kuisha kwa mwezi huu nitapata kazi nzuri katika taasisi nzuri, itakuwa na mshahara na marupurupu mazuri, na nitafanikiwa kimaisha na kiujuzi.
Asante Yesu.
Napokea kadiri ya imani yangu kwa jina la Yesu.
Amina Mwenyezi Mungu akutendee wewe atukumbuke na sisi pia.Roho mtakatifu amenijulisha kuwa kabla ya kuisha kwa mwezi huu nitapata kazi nzuri katika taasisi nzuri, itakuwa na mshahara na marupurupu mazuri, na nitafanikiwa kimaisha na kiujuzi.
Asante Yesu.
Napokea kadiri ya imani yangu kwa jina la Yesu.
Una recieved ngapi?Roho mtakatifu amenijulisha kuwa kabla ya kuisha kwa mwezi huu nitapata kazi nzuri katika taasisi nzuri, itakuwa na mshahara na marupurupu mazuri, na nitafanikiwa kimaisha na kiujuzi.
Asante Yesu.
Napokea kadiri ya imani yangu kwa jina la Yesu.
Apostle kuna muujiza!Roho mtakatifu amenijulisha kuwa kabla ya kuisha kwa mwezi huu nitapata kazi nzuri katika taasisi nzuri, itakuwa na mshahara na marupurupu mazuri, na nitafanikiwa kimaisha na kiujuzi.
Asante Yesu.
Napokea kadiri ya imani yangu kwa jina la Yesu.