Habari mkuu, vipi ulifanikiwa? Kama bado kindly karibu PM. Ninao bata 31 nawauza. Ni wazuri sana. Nimewazalisha mwenyewe. Miezi 7 tayari wanataga mayai ya kutosha. Wana maumbo makubwa. Nipo Arusha.
Habari mkuu, vipi ulifanikiwa? Kama bado kindly karibu PM. Ninao bata 31 nawauza. Ni wazuri sana. Nimewazalisha mwenyewe. Miezi 7 tayari wanataga mayai ya kutosha. Wana maumbo makubwa. Nipo Arusha.