Zahor Salim
Member
- Sep 1, 2010
- 29
- 9
kaka salim,
nenda mitaa ya mindu na malik mitaa ya upanga karibu ya hospitali ya muhimbili kuna appartments zinajengwa na kuuzwa...! Jamaa wanauza bei mbaya lakini between 90m to 150 m. Lakini ni appartment nzuri sana mno...!