Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejenga bondeniKuna ile specie ya Chinese bamboo. Wapi nitapata mbegu?
HapanaUmejenga bondeni
USSR
Shukrani sana ngoja niicheki inapatikana wapi. Nilijaribu kupiga simu TFS Arusha simu haipatikaniTafuta Mbegu inaitwa Tropical Giant Bamboo
Ardhi yako iko wapi?Mkuu unataka ufanyie nini??
kama italeta pesa naomba unstue na mm nipande ardh ipo..
Ni kweli inategemea vitu hivyo. Ngoja nione kama hii giant tropical bamboo growth conditions zikojeNadhani hazina mbegu ya uhakika , ila inategemea na ardh, Hali ya hewa, na maji au mvua hasa.
Mkuu Zingiziwa iko wilaya gani?Kuna sehemu km unaenda Zingiziwa zipo tembea tembea kule utapata Mbegu tena zipo za kumwaga zinakua faster
Ilala fika Chanika chukua gari zinaelekea ZingiziwaMkuu Zingiziwa iko wilaya gani?
Shukrani.Ilala fika Chanika chukua gari zinaelekea Zingiziwa
Inategemea na specie na mazingira ilipopandwaNaskia bamboo inakua huku unashuhudiwa kabisa
Pamoja mkuuShukrani.
KAGERA.Ardhi yako iko wapi?
Nahitaji pia hii nikafanye fencing shambani. Hapo Chanika Zingiziwa kuna mbegu tunda au miche?Kuna sehemu km unaenda Zingiziwa zipo tembea tembea kule utapata Mbegu tena zipo za kumwaga zinakua faster
Kule shamba unaomba tu unapewa huyu ametaka mianzi yaan bamboo Mbegu ndio nimem-direct hukoNahitaji pia hii nikafanye fencing shambani. Hapo Chanika Zingiziwa kuna mbegu tunda au miche?