Nitapata wapi mbegu za bamboo inayokua kwa kasi?

Nitapata wapi mbegu za bamboo inayokua kwa kasi?

Kule shamba unaomba tu unapewa huyu ametaka mianzi yaan bamboo Mbegu ndio nimem-direct huko
Nami nataka hiyohiyo mianzi. Ndio nimeuliza hua wanapanda miche au kuna vi mbegu labda?
 
Back
Top Bottom