Nitapata wapi mkopo wa milioni 3?

Nitapata wapi mkopo wa milioni 3?

IPILIMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,819
Reaction score
801
Wana JF, tafadhari niambieni nitapata wapi, na kwa masharti gani mkopo wa milioni 3, collateral yangu ni gari yenye thamani ya tsh 8 millioni? marejesho kwa mwezi hadi miezi 10 PIA,

JE kuna mtu anaweza nikopesha gari used but in good condition; iPSUM 1998/9/2000, suzuki vitara 1997/8/9-5 doors, MARK II GX100-4s BEI ISIZIDI 4M-5M, then nitarejesha kila mwezi kwa mwaka 1 (miezi 12) yeye atabaki na blue card original, mimi copy! nipo mbeya green city!! gari hiyo iwe na uwezo wa kusafiri masafa marefu; kihegam@gmail.com
 
Back
Top Bottom