Ni vizuri unesema unataka pallet za ukubwa gan yan urefu x upana. Pili sidhan kama kuna sehemu specific unaweza kukuta wanauza, huwa zinatengenezwa kwa mafundi seremala
Zinauzwa TAZARA kabla hujavuka Flyover ingia kushoto kama wwtokea mataa ya changombe. Utakuta zipo nyingi. Kuna madalali wengi hivyo lazima utapigwa. Mwenye nazo huwa yupo mbali sana. Ukitajiwa bei ikate mara 2