nitapata???!!?

anahitaji kuliwazwa lakini jama,na huwezi jua mda wa ujauzito labda alikua hapati mambo flani so ni mda mrefu sana
Inawezekana lakini ila yeye ndiye anajua zaidi kuliko sisi
 
hana pesa za kum2nza mtoto ndo mana anatafuta m2 amsaidie...we mwanamke 2lia na huyo mtoto umlee..tamaa gani za namna hyo..
 
hellow jf memberz, wazima? Am just looking for a man who knows how to love! Any man pls?! Am 25...

Pamoja na haya


Nafikiri bado una nafasi nzuri baada ya hili


Nakushauri uje uweke mustakabali wako hapa vizuri.

Wapo ambao watajitokeza ikiwa utakuwa mkweli, kwa maana ya Kuweka historia wazi, kama vile Elimu yako, Dini yako, na Idadi ya watoto ulionao.

Nyangiez, unapenda upate mtu wa kukupenda. Ni ndoto ya kila mtu aliyekamilika. Hivyo basi uwanja ni wako kuwaondoa wana JF wasiwasi kwamba wewe ni mtu wa namna gani

Nakutakia Masters njema na matunzo mema ya mtoto
 
una pepo la ngono, nenda loliondo upate kikombe!, mwezi wa 2 umejifungua mwezi wa 4 unataka mpenzi tena tofauti na baba mtoto!, huo ni umalaya dada! Shindwa na ulegee!
 

The Finest signature yako hapo mwishoni kama unaniita...lol..
:focus:Nafikiri huyo dada anatafuta mtu wa kumpiga tafu malezi maana mh! huo muda kusahau nakuwa na hamu na jamaa mwengine wakti as far as I know kipindi hiki ungekuwa huna hata wazo la r/ship mpya kwanza na uconcentrate na ulezi wa mwanao. By the way, jamaa kakupotezea shauri ya jina tu jamani, mh, kwa nini msingezungumza jina la dogo likabadilishwa analotaka yeye, mkaka mkalea mwanenu. Kwani jina ni nini jamani. Au jamaa alikuwa na yake akakutafutia sababu.
 
Mh!!we mdada kiboko
mtoto ana miezi mingapi vilee?
afu unapata wapi muda wa kudate upya?
yani kipindi kifupi hicho ushasahau mambo mazuri yoooote ulofanya na huyo baba watoto,duu!!
au ndo desparation tenaa..

hahah umenikumbusha kitu
nilikuwa na rafiki she waz 25 by then akawa desparate anataka kuolewa, matokeo yake kaolewa na mtu hampendi
sasa hivi anasema looh 'mume wangu mfupii sikuwa nikipenda wanaume wafupi'

Haya mamaa kila la heri..ila wanaume dont know how to love..waulize watakwambia
 
utapata mwaya ila labda awe understanding,kwa culture yetu akikuona una mtoto mdogo unalea anakupotezea tu,afu huu mtindo wa kufukunyua maposti ya mtu na kuyaleta hapa ushaaanza kuchusha!!!:A S 2152:
 
Lol Wee Mkare, dah mimi sielewi hata hii movie inaenda vipi maana kuna muingiliano wa mambo mengi inakuwa ngumu sana sijui labda mwenzetu moyo wake mgumu
 
Lol Wee Mkare, dah mimi sielewi hata hii movie inaenda vipi maana kuna muingiliano wa mambo mengi inakuwa ngumu sana sijui labda mwenzetu moyo wake mgumu

Yaani... Ila sometimes yaweza kuwa ni frustrations so akadhani kutafuta m/mme mwengine haraka ndio itakuwa solution ya kumsahau yule na kumbe ndio anacomplicate mambo.
 
Yaani... Ila sometimes yaweza kuwa ni frustrations so akadhani kutafuta m/mme mwengine haraka ndio itakuwa solution ya kumsahau yule na kumbe ndio anacomplicate mambo.
Mkare inawezekana nayo ikawa moja ya sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…