nitapata???!!?

nitapata???!!?

kudadadeki hii kali kuliko, anyway kwa wale mlio tayari kulea watoto wa wengine as if hamna sper.... pia kwa wale mlo tayari watoto wenu wapewe majina na mama zao tu nendeni kwa huyu. Maskini wangu huyu dada tayari virus anayeshambulia saikolojia alishalamba file, na niliwahi kutoa ushauri kuwa ni hatari kwa mabinti kuzaa vyuoni kabla ya ndoa, haya sasa una mtoto wa m2 unatafuta mvulana tena badala ya kujipanga na kumrudisha kundini mmeo mlee mtoto, haya ukiyafanya haya utapata wavulana wa kukuchakachua tu na hamna atakayekupa penzi la kweli. JIPANGE USIJE KUMBEMENDA MTOTO.
 
Back
Top Bottom